Kama lengo ni kutoa ujumbe wa kudai tume huru, basi polisi wangejulishwa.Usipotaka kuona jezi yenye maneno "TUME HURU" means unaficha weakness za tume na hivyo una conclude kwamba tume iliyopo sio huru. Sasa kwanini wananchi wasitafute namna ya kupata TUME ILIYO HURU.
Ila ni kazi yao kuhakikisha mnachopanga kipo ndani ya sheria.Si kazi ya polisi kuingilia vitu visivyovunja sheria
Kumbe hilo ndilo tatizo, zinatisha! Siku wakijogi vifua wazi mtasema wanataka kusababisha ajari.Kwani lazima wavae sare za chama?
Big up Bawacha. The light of freedom is in sight. Continue fighting.View attachment 1943298
View attachment 1943311
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Yaani upinzani uwe hoi halafu kutwa nzima police wanafatilia kila nyendo na hatua za wapinzani. Kubambikia watu kesi, kufunga mikutano ya ndani ya vyema vya upinzani. Braza amka mambo sio mepesi kama unavyojaribu kujiaminishaKama lengo ni kutoa ujumbe wa kudai tume huru, basi polisi wangejulishwa.
Lakini kama lengo ni kutafuta wanachama zaidi wa jogging Club basi hakuna maana ya kuweka neno Tume Huru kwenye fulana zenu, kama nilivyoainisha hapo juu.
Kwa kifupi ni kwamba wapinzani sasa hivi mpo hoi na mnachofanya ni kujitutumua tu.
Tafuteni mikakati na mipango sahihi.
Mimi niliamka siku miongo kadhaa ilopita.Yaani upinzani uwe hoi halafu kutwa nzima police wanafatilia kila nyendo na hatua za wapinzani. Kubambikia watu kesi, kufunga mikutano ya ndani ya vyema vya upinzani. Braza amka mambo sio mepesi kama unavyojaribu kujiaminisha
Kwani jogging ina nguo maalum ?Kwani lazima wavae sare za chama?
Huyo jamaa hata sio wa kumjibu,sijui anaongea vitu ganiUsipotaka kuona jezi yenye maneno "TUME HURU" means unaficha weakness za tume na hivyo una conclude kwamba tume iliyopo sio huru. Sasa kwanini wananchi wasitafute namna ya kupata TUME ILIYO HURU.
Ujumbe unatatizo gani ?Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Mahala pake ni wapi ?Ujumbe haivunji sheria ila hapakuwa mahala pake.
Mbona ni rahisi kuona hilo?
Kipindi Cha JK Chadema walivyopigwa mabomu Arusha notice zilikua zinatoka wapi?MATOKEO YA NOTES ZA RWANDA KWA "PAKA" Paul Kagame....πππ
Mahala pa ujumbe huo palikuwa ni kwenye mkutano.Mahala pake ni wapi ?
Wangekuwa hoi jeshi la polisi lingetumia nguvu zote hizo kupambana nao ?Kama lengo ni kutoa ujumbe wa kudai tume huru, basi polisi wangejulishwa.
Lakini kama lengo ni kutafuta wanachama zaidi wa jogging Club basi hakuna maana ya kuweka neno Tume Huru kwenye fulana zenu, kama nilivyoainisha hapo juu.
Kwa kifupi ni kwamba wapinzani sasa hivi mpo hoi na mnachofanya ni kujitutumua tu.
Tafuteni mikakati na mipango sahihi.
Ameyaanzisha mwenyekiti wa CCM kwa kutanguliza uanamke kwny kila kitu,acha wamuige.Naona neno unyanyasaji wa kijinsia linataka kutumika vibaya itafika kipindi ukiongea na mwanamke utaambiwa unamnyanyasa kijinsia.Naona mnautumia uanamke wenu vibaya
Ujumbe huo kwenye tshirt ulivunja sheria ?Ila ni kazi yao kuhakikisha mnachopanga kipo ndani ya sheria.