Udikteta Tanzania: Polisi ya Simon Sirro yazuia wanawake kufanya mazoezi ya Jogging

CCM wakiwa na jogging zao huku zimeandikwa KAZI INDELEE huku Ina picha za Samia hua wanatoa ujumbe wa mazoezi hapo sio?
 
Mkutano wa nini ?
Ndipo matumizi yetu ya akili yanapotatiza.

Lengo la mkusanyiko huo lilikuwa ni kufanya mazoezi ya kukimbia na kuunganisha wanawake wa bavicha.

Hivyo maudhui ya ujumbe wa Tume Huru hayafanani na maudhui ya mazoezi.

Polisi nao wana akili na wanapima mnachopanga.

IGP Sirro alisema huko nyuma wanafahamu mnapolala na mnachopanga.
 
Je walivunja sheria ya nchi ?
 
CCM wakiwa na jogging zao huku zimeandikwa KAZI INDELEE huku Ina picha za Samia hua wanatoa ujumbe wa mazoezi hapo sio?Huchokagi kulamba kalio bro.
Mimi sijazoea kutukana watu nisiowafahamu ni mwiko kwangu.
 
Tume huru inakukwaza nini ndugu taga
 
Tunamsubiri Sirro naye akojozwe na Wakili Msomi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…