Hivi ndiyo akili za Bawacha ndiyo zimefikia hapa, Soma fulana hizo ndiyo ujue polisi wako sahihi kuwazuia. Polisi yetu ni ya wasomi hizo mbinu za kitoto wanazing'amua haraka.View attachment 1943298
View attachment 1943311
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta
Ndugu yangu hao akina Mama wamefanikiwa sana kufikisha ujumbe.Kama lengo ni kutoa ujumbe wa kudai tume huru, basi polisi wangejulishwa.
Lakini kama lengo ni kutafuta wanachama zaidi wa jogging Club basi hakuna maana ya kuweka neno Tume Huru kwenye fulana zenu, kama nilivyoainisha hapo juu.
Kwa kifupi ni kwamba wapinzani sasa hivi mpo hoi na mnachofanya ni kujitutumua tu.
Tafuteni mikakati na mipango sahihi.
Una tatizo wewe siyo bureHivi ndiyo akili za Bawacha ndiyo zimefikia hapa, Soma fulana hizo ndiyo ujue polisi wako sahihi kuwazuia. Polisi yetu ni ya wasomi hizo mbinu za kitoto wanazing'amua haraka.
Kwamba Kikwete anaakili kuliko jiwe?Serikali inazidi kuwapa Chadema umaarufu
Mama anamuiga Magufuli mtu asiekua na akili
Kati ya akili ya Magufuli na Kikwete,akili ya Kikwete ni milions of miles bigger than that nonsense,ni heri nigeiga ya Kikwete
Mama anaiga matango pori ya Magufuli....ni heri walao atumie hata akili yake binafsi kuliko ya Magufuli aisee
Sijui ni usomi gani unaousifu hapo?Hivi ndiyo akili za Bawacha ndiyo zimefikia hapa, Soma fulana hizo ndiyo ujue polisi wako sahihi kuwazuia. Polisi yetu ni ya wasomi hizo mbinu za kitoto wanazing'amua haraka.
Usemi ni kugundua mbinu ya Bawacha kuficha makucha yao ya maandamano kwenye jogging. Angalia ujumbe wao kwenye fulana zao. Hiyo haikuwa jogging ni maandamanoSijui ni usomi gani unaousifu hapo?
Huo ni uthibitsho kuwa ujumbe umefika na ukamkera MKUBWA aliyewatuma alfajiri ile.
Ninyi mlipanga maandamano yalojificha nyuma ya jogging.Si kazi ya polisi kuingilia vitu visivyovunja sheria
Wakubwa wenu wamesoma ujumbe, wakakereka wakawatuma polisi. Si ndio ujumbe umefika?Usemi ni kugundua mbinu ya Bawacha kuficha makucha yao ya maandamano kwenye jogging. Angalia ujumbe wao kwenye fulana zao. Hiyo haikuwa jogging ni maandamano
Polisi wasomi wamegundua mapema na kuchukua hatua stahiki. Big up kwa polisi wetu. Watanzania tunaunga mkono polisi wetu.
Na nyie kubalini kipigo cha mbwa koko. Wamepigwa na kushikwa shikwa na mwanaume. Ujumbe huu pia umefika. Mwanakulitafuta, mwanakulipata.Wakubwa wenu wamesoma ujumbe, wakakereka wakawatuma polisi. Si ndio ujumbe umefika?
Shetani anapojitahidi kukukosoa ujue ndio upo sahihi.Ninyi mlipanga maandamano yalojificha nyuma ya jogging.
Ila mkasahau polisi nao wapo kazini.
Kiufundi (technically) hayo ni maandamano yenye ujumbe wa kutaka Tume Huru.
Mnapofanya mambo yenu yawe yamepangwa kiufundi.
Hizo ni gharama za mapambano ya kudai haki. Mtakuja zilipa tu.Na nyie kubalini kipigo cha mbwa koko. Wamepigwa na kushikwa shikwa na mwanaume. Ujumbe huu pia umefika. Mwanakulitafuta, mwanakulipata.
Tatizo kubwa mlilo nalo ni kushindwa kufikiri uzuri na kupanga mikakati kisomi.Shetani anapojitahidi kukukosoa ujue ndio upo sahihi.
Ushauri wako wafanana na zilezile nyimbo za kina Ndugai, hauhitajiki.Tatizo kubwa mlilo nalo ni kushindwa kufikiri uzuri na kupanga mikakati kisomi.
Sanasana mwakimbilia kutusi watu ambao wengine wetu malengo yao ni kuwasaidia.
Acheni kukimbilia kutusi hizo si siasa sahihi.
Kwa aina hii ya Chadema na wapinzani wengine, sahau ndugu yanguHizo ni gharama za mapambano ya kudai haki. Mtakuja zilipa tu.
How kuvaa/kusema katiba mpya/Tume huru iwe ni kuichokoza serikaliChadema waache kuchokoza serkali
Lugha hiyo hiyo ilikuwa inatolewa na makaburu SA, hatukushangai.Kwa aina hii ya Chadema na wapinzani wengine, sahau ndugu yangu
Yaani weye wanifananisha mie na Job Ndugai kweli?Ushauri wako wafanana na zilezile nyimbo za kina Ndugai, hauhitajiki.
Lugha hiyo hiyo ilikuwa inatolewa na makaburu SA, hatukushangai. Kwenye mapambano kuna vikwazo/changamoto lakini, yanaendelea.Kwa aina hii ya Chadema na wapinzani wengine, sahau ndugu yangu