Udini: Mwalimu Mkuu na wanafunzi wa Kikristo wakimbia shule Bagamoyo kuhofia maisha

Udini: Mwalimu Mkuu na wanafunzi wa Kikristo wakimbia shule Bagamoyo kuhofia maisha

Status
Not open for further replies.
Hawa Christian watakuwa wanajishtukia tu na wameondoka kwa sababu zao binafsi. Wasisingizie ubaguzi wa kidini.

MIMI nimewasifu nini chakufia? kwanini upoteze muda kubishana na mtu aliye tumwa kubisha hata jambo lililo wazi kabisa!! wao wakitaka jambo lao wanalichanganya na dini ili wapate kuungwa mkono na watu wengi wa dini yao.kadiri miaka inavyo songa mbele nazidi kugundua dini ya kweli ni ipi.NASHUKURU MUNGU NINAISHI DINI YA KWELI.
 
gazeti hili la NIPASHE
serikali ingelipiga BAN kwa kueneza udini., habari hizi ni za uwongo
kabisa.
Taarifa hizi za kweli kabisa, hata mie nimezipata kwa mwanafunzi aliyeko nyumbani, inasemekana kulikuwa na vitisho kwa kuichoma shule
 
Mwanafunzi huyo alijitoa katika kugombea,
Moja akachaguliwa huku waisilam wakigomea uchaguzi.
Hapa lazima kuna tatizo kubwa hamtaki kulisema, huyu mwalimu kuna kitu atakua amekosea.
Alitakiwa atumie busara na kuteu mtu mwingine na sio kumuacha moja. Pia nahisi na yeye ni mdini kwa upande wa ukristol
He is stupid.
 
Hii tabia ya misikiti kujengwa mashuleni ni chanzo cha kero na matatizo makubwa sn hadi mambo yafikie kama NIGERIA ndo tutajua.nawachukia sn waislam wanaoharibu aman y hii nchi.
 
Ukiukojolea, utageuka mjusi! Same apply hapa. Haya mafundisho ya Uongo! Hiyo ni lugha ya Kikuraish ndivyo inavyoandikwa hata ukiandika TUSI herufi itatoka kulia kwenda kushoto. So there is nothing special with Quran kuandikwa kwenda kushoto.

Umekimbia hoja ukaamua kuleta hoja ya ovyoovyo ya matusi. Kwani biblia ilipoandika wachungaji ni mbwa iliwatakasa au iliwatukana? Baada ya kuwatukana wachungaji (na hata Mungu ametukanwa kwenye biblia KWA KUITWA MPUMBAVU), je maadishi yalitoka kulia yakaenda kushoto?
 
Kama kweli kamanda wa Polisi amejibu hivyo basi ni bahati mbaya sana. Kwa nini mwalimu mkuu asitakiwe? je, inawezekana sasa Wakristo wakasoma kwenye shule zao wakiwa na walimu wao Wakristo na Waislamu wakasoma kwenye shule zao wakiwa na walimu wote Waislamu ili kuleta amani? Kama wanafunzi wa Kiislamu hawawataki walimu Wakristo wasilazimishwe kufundishwa nao. Kwanza mtu usiyempenda akikufundisha huelewi somo. Tuepushe vita. Kama kukaa pamoja inashinidika basi tusipigane na kuuana. Tutengane kwa amani.

leo tutatengana mashuleni,kesho wakristu watasema hospital zao mwislam hapana,majimbo nayo tutachagua wabunge wawili(wa waislam na wa wakristu) hadi rais tuwe nao wawili? sababu ninachokiona waislam hawataki wawe chini ya uongozi wa mkristu lakini wakristu sijajua msimamo wao,cha mhimu kama shule ni ya serikali lazima uchukue wanafunzi wa imani zote ambaye hataki shule za kiislam au kikristu zipo apeleke watoto wake huko.Haka kaujinga tukikachekea Tanzania itabaki kwenye vitabu tu,leo mnawatenga wakristu mkijua kwamba ni wamoja mnasahau kesho mtaanza kubaguana msuni mara sijui mshia.
 
Unataka kutuambia NATI zilifuata kanuni za Uislamu kwenye kutengenezwa kwake? Saa nazo zinazunguka kwa kufuata kanuni za Kiislamu?

Afadhali wewe ni mwanafunzi mzuri, unataka kujifunza uislamu. Sio kama wengine wanauchukia uislamu bila kwanza kujifunza na kuujua. Wewe unafundishika. Kwa kifupi quran ni sayansi inayomwongoza mwanadamu katika maisha yake ya kila siku. Wataalamu wengi wanakiri koran ni sayansi!!! Imeeleza mambo mengi ambayo katika vitabu vitakatifu maandiko hayo hayapo. Elimu iliyomo katika korani ni kubwa sana ukijifunza (kuijua na wala si lazima ukishajua uwe mwislamu) utagundua kuwa hata hao unaodhani ni waislamu utawaona bado hawako kama kitabu chao kinavyotaka wawe.
Kwa kujibu swali lako ni kwamba Si nati tu bali hata ndege inaruka kwa kufuata principles za uislamu yaani korani. ila kwa kelele za watu humu JF ama popote kuhusu kuudharau uislamu ni kwa sababu watu hawataki kujifunza. wanajifunza dini hii ya usilamu kwa kumwangalia mtu anaishije badala ya kusoma kitabu chake huyo mwislamu kinamtaka aishije.
Korani ni sayansi.... mfano ukisikia mtu anasema elimu akhera tu ndo imesisitizwa kwenye korani huyo mwite mbumbumbu!!!! Na ukimwona mtu anashinda msikitini eti anasali badala ya kwenda kufanya kazi basi mtu huyo haijui korani vizuri.
Hebu soma andiko hili, utagundua linamtaka mtu amtumikie mungu tu ama na dunia pia???
"....Mtumikie Mungu kama vile utakufa kesho.......Na itumikie dunia kama vile utaishi milele........."'
Hivo ndo qurani inavyosema.
 
Dini ya kiislamu ni janga la dunia.

Ugaidi wao(Alqaida,bokoharam,alshaabab na makundi mengine meng)

Wao siku zote hawapend Aman wanataka shari tu
Thank u God nlzaliwa mkristo
 
Kwani shule ni ya kislamu au ya serikali?Kwa nini wawakatae walimu wakristu ilhali shule ni ya serikali?
Basi serikali iwape waislamu shule kama hawataki wakristu hapo shuleni.Kwa nini serikali ilijenga msikiti kwenye shule yake?:A S-cry:

Hii ni mbinu ya waislamu kujididimiza kielimu na kusingizia mfumo KRISTO. Wanajua kabisa waalim wa kiislam katika shule za Tanzania ni less than 10% kwa kuhitaji walimu wa dini yao pekee ina maana hawatakuwa na walimu wa kuwatosheleza na watabakia nyuma kielimu na hivyo kusingizia mfumo Kristo.

Kwanza waislam na elimu dunia wapi na wapi, huenda hao wameleta fujo ili nchi ijue kuwa kuna waislam high school
 
mmmmhhh umesoma habri vizuri...??????hujaona kuwa kuna vitisho
na kwa kawaida waislamu huwa hawafikiri mara mbili wakisema watafanay huwa wanafanya
ni uamuzi mzuri ngoja wapewe walimu wao waislamu tupu,mkuu wa shule muislamu na wasome waislamu tupu
hili tatizo la misikiti mashuleni na watu kujitenga liko kila mahali..........shule nyingi sana wanafunzi wa kiislamu wanafanyia discussion zao msikitini...........HATA PALE UDSM WAPO WANAOFANYIA DISCUSSION PALE MSIKITINI NA KUNA UBAO KABISA WANAJITENGA NA KUFANYA DISCUSSION PEKE YAO.

nb:ukitaka source nenda hata leo pale msikitin udsm

Wanakimbia harufu ya minyama yenu ya nguruwe mnayokulaga pale ubungo!!!!!
 
Malyenge nashukuru kwa nadharia yako. Lakini hujajibu swali langu kama Utengenezaji wa Nati umefuata kanuni ya Kiislamu, kama umefuata ni kivipi yaani tueleweshe siye wengine ni kwa namna gani utengenezaji wa Nati unafuata kanuni ya uislamu na hiyo kanuni tutajie kisha tufafanulie!!
 
Last edited by a moderator:
mdogo wangu anasoma hapo bagamoyo.gazeti la nipashe halijakosea kitu.yaliyosemwa ni kweli. kuna mgogoro kati ya waislam na wakristo.dogo pia alirudi toka j3.
ishu ni kwamba al kaida wanaanza kupanda mbegu ya chuki mashuleni.
hao wanafunzi wa kiislam wanashinda msikitini baada ya sala wanaanza kujifunza kareti na kupanga mipango dhidi ya wakristo!.
wakifeli watasema ndalichako kasaisha vibaya!.
ukweli hapo shuleni waislam wako si zaidi ya 100 wakati wakristo wako zaidi ya 600 aafu waislam wakaanza kupiga kampeni za udini!.hivi huyo mwislam hangeshinda vipi?
Mungu ilinde Tanzania na pepo/shetani huyu mbaya wa chuki na machafuko.
 
mmmmhhh umesoma habri vizuri...??????hujaona kuwa kuna vitisho
na kwa kawaida waislamu huwa hawafikiri mara mbili wakisema watafanay huwa wanafanya
ni uamuzi mzuri ngoja wapewe walimu wao waislamu tupu,mkuu wa shule muislamu na wasome waislamu tupu
hili tatizo la misikiti mashuleni na watu kujitenga liko kila mahali..........shule nyingi sana wanafunzi wa kiislamu wanafanyia discussion zao msikitini...........HATA PALE UDSM WAPO WANAOFANYIA DISCUSSION PALE MSIKITINI NA KUNA UBAO KABISA WANAJITENGA NA KUFANYA DISCUSSION PEKE YAO.

nb:ukitaka source nenda hata leo pale msikitin udsm

kwa aliyesoma tabora boys anaweza kuwa shahidi kwani vijana wa kiislamu wanajitenga sana mpaka chakula wanalia msikitini! Hata wakipata mwalimu wa tuition huishia msikitini hawashirikishi wengine! kama unabisha waulize 4m6 waliograduate feb2012 kibaya zaidi wanafanya makosa na kwenda kujificha msikitini! Wakiamini mwalimu hawezi kuingia! nb: mwaka 2010 kunavijana waliiba wakapewa kipigo na walipopata nafasi ya kukimbia wakajificha mskitini kibaya zaidi viongozi wa msikiti wakawakingia kifua na kusema 2nawafanyia fujo!
 
Dini ya kiislamu ni janga la dunia.

Ugaidi wao(Alqaida,bokoharam,alshaabab na makundi mengine meng)

Wao siku zote hawapend Aman wanataka shari tu
Thank u God nlzaliwa mkristo

Hapo kwenye bold. Pole sana kwa kutoyajua maandiko matakatifu. Yaani tatizo lenu ninyi wakristo maandiko hamyajui, na hata kama mkifundishwa hamtaki kuukubali ukweli. Tukubaliane kitu kimoja.... Kwamba huwezi kuwa mkristo kamili bila kwanza kubatizwa (jibu ni ndiyo). Je, ubatizo maana yake ni nini? Jibu, ni kuzaliwa upya ama wengine watasema ni ondoleo la dhambi.... Tuanze na kuzaliwa upya. Hapa inamaana unaingizwa kwenye ulimwengu mwingine wa dini nyingine unakuwa mpya yaani unakuwa mkristo. Tuje na ondoleo la dhambi. Mtoto mdogo anapobatizwa maana yake tunamnwondolea dhambi...? Lakini mbona Yesu anasema watoto hawana dhambi? Maana yake hapa si kumwondolea dhambi bali tunampa dini mpya. Sasa tujiulize dini yake ya awali kabla ilikuwa inaitwaje? Jibu ni uislamu!!!! Kwa kawaida mtu anapozaliwa hutanguliza kichwa (anasujudu-means anakuwa muslim!!!). Na ndio maana mtoto akizaliwa kwa kutanguliza miguu inakuwaga hekaheka kweli mpaka madaktari huwa wanachanganyikiwa. kwa nini wanachanganyikiwa? Au kwa nini mila zingine hufanya tambiko mtu akizaliwa katanguliza miguu???
Ila kwa chuki ya uislamu ama kutopenda kujifunza maandiko watu watabisha mpaka mwaka mpya utaingia. lakini huo ndio ukweli. kwamba binadamu woooooote huzaliwa wakiwa waislamu na ndio maana huwa wanabatizwa ili kuwatoa kwenye dini yao (ya uislamu) kwenda dini hiyo ya ukristo.
 
Dawa ni kuwatengea shule zao wakae peke yao,wafundishwe na walimu wa kwao,tuone kama chokochoko zitaisha.NDANDA Sekondari ilikuwa hivyohivyo kitu kidogo kinakuzwa utadhani ndicho walicho fuata.je, viongozi wa shule wangekuwa wanalipwa posho si ingekuwa balaa!! halafu fuatilia uone huyu anae utaka ukiranja mkuu amekwenda na sifa gani,utakuta kaenda na;DDC badala ya kukaza buti atoke na daraja zuri anautaka ukiranja kwa udi na uvumba.

Hapo kwenye bold. Hivi kwani DDC siyo maksi kumbe. Inaitwa kufeli? Da!, poleni sana kwa kuwa na mawazo ya kikoloni. ndo mfumo anaoulalamikia Robert Kiyosaki katika kitabu chake cha "Rich Dad Poor Dad". Anyway, labda huyu mwislamu mwenye DDC ameathirika na mfumo wa Ndalichako wa kukosea kusahihisha mtihani wa somo linalowahusu waislamu tu. na wala hakosei kwa bible knowledge. ndo maana ana DDC (tunaamini ni mpango mzima wa kufelisha waislamu katika masomo yote na ushahidi mmojawapo ndo huo wa silamic Knowledge mwaka 2012) Kama wakimrekebishia unaweza kukuta ana BBA!!!!!
 
Law of consistency. Ukipanda mahindi huwezi kuvuna maharagwe.

Serikali imepanda udini inategemea ivune uelewano?
 
Mfano wako ndugu yangu...Nut unaifungua baada ya kuifunga.Sasa hayo maandishi ulianza kushoto kwenda kulia kwanza?By the way hata kiebrania,Hebrew nayo pia huanzia kulia kwenda kuhsoto.ILa ustaarabu wao hauwapi shida sana kama wa waarabu.

Umerudi kwenye hoja ya msingi!!! Kumbe kiebrania pia kinaandikwa kutoka kushoto kwenda kulia!!!! Lugha ambayo Yesu alikuwa akiitumia? Very good!!!!! Sasa kwanini mtoa mada alibeza kwa kusema dunia inatushangaa kwa maandishi yetu kutoka kushoto kwenda kulia? Yaani korani inaonekana kituko zaidi maandishi yake kwenda kushoto kuliko biblia ya kiebrania yenye maandishi kutoka kushoto kwenda kulia kama korani???? Kumbe imethibitika kuwa waislamu hubezwa kwa chuki binafsi tu!!!!! Tuanze kwanza kwa kumbeza yeus aliyetumia Lugha maandishi yake kutoka kushoto kwenda kulia kisha ndo tuje kwenye korani ili dunia itushangae sote!!!!!
 
Wanafunzi wa kiislam hawaingii darasani, hivo tunaomba NECTA iwajali ktk usahihishaji hapo mwezi wa pili 2013
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom