UDOM kuanzisha kampasi Njombe. Kimaadili hii siyo sawa kabisa ktk nchi hii

UDOM kuanzisha kampasi Njombe. Kimaadili hii siyo sawa kabisa ktk nchi hii

Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
huyu ana utindio wa ubongo. anapaswa kupuuzwa.
 
Kama ni kwrli hayo yatakuwa matumizi mabaya ya fedha za umma. UDOM kimejengwa kwa mkopo kutoka pesa za wafanyakazi ambao ni wanachama wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii. Bado serikali inadaiwa mabilioni na mifulo hiyo; walipe kwanza hizo pesa ndipo wafungue kampasi nje ya Dodoma.

Vv
Acha ujinga wako we Jamaa, Serikali kudaiwa mabilioni na kuanzisha kampasi vinahusianaje?

Narudia kukwambia sio tuu Kampasi itaanzishwa Njombe Bali na vyuo vingine vitaamzisha Matawi kwenye Mikoa yote 14 ambayo haikuwa na vyuo Vikuu hapo awali.
 
We jamaa umeandika logic sana mungu akutunze, tanzania inatapanya sana pesa kwa matumizi yasiyo na ulazima huku yale ya ulazima yanayo mgusa moja kwamoja mwananchi yakiachwa , tuna viongoz wajinga sana hii nchi
Logic ipi hapo?
 
sasa we bwege kwann dodoma imefanya kitu gan kuwa n vyuo vyote hivo,,,
au iringa,mbeya,moro,dar, mbona unapwayuka

Kupeleka chuo si kwa sababu ya idadi ya watu ni njia moja wapo ya kubust maendeleo au jamii ambazo hazipendi elimu

Naunga mkono uamuzi huo mikoa ya njombe ,ruvuma imesahaulika sana
Mbona nyie ni wagumu sana kuelewa?

Narudia kuwaambia kwamba Samia Kupitia mradi wa HEET anajenga vyuo Vikuu Mikoa yote ambayo Haina na kupanua vilivyopo.

Hakuna Mkoa ambao umesahaulika kuanzia Lindi Hadi Simiyu.

Na Kwa taarifa tuu Samia ndio ameagiza hili kufanyika maana mtu mwenye akili kama mtoa mada alitaka vyuo viendelee kurundikwa kwenye Mikoa Ile Ile Samia akakataa huu ujinga.

View: https://youtu.be/gmUkeU6VTl8?si=w3SepfOoxbjq4sX1
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
Mtoa mada Ili usiumie sana kajinyo ge tuu maana tayari sio stori za kusikia ni confirmed Bil.18 zimetoka kuanza Ujenzi.

View: https://www.instagram.com/reel/C1M4zL-shvP/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
Hivi unachosema ni kweli au tetesi?
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
Uo sahihi kabisa. Nchi hii ina mambo ya ajabu sana.
 
Natamani ningesoma mapema ili hii comment iwe juu isaidie na wengine.

Ni kwamba kuna pesa za mradi na sio pesa zao za ndani. Masharti ya kupewa pesa ni kujenga campus mahali ambapo hakuna chuo. Sio udom tuu, vyuo vyote vikubwa wanajenga mahali ambapo wewe hukudhani.

Huko lindi ulikotaka wewe wajenge kuna chuo kinajenga, lakini pia tanga, kigoma na sehemu nyingine pia wanajenga.

Kwahiyo soon utasikia kila chuo kikuu (kikubwa au kikongwe) kitakua na campus mahali pasiko tarajiwa, udsm, udom, mzumbe, sua.. vyote vipo kwenye mradi.
 
Back
Top Bottom