Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Tangu Watanzania mruhusu PhD fake kuongoza nchi kibali kilitolewa kwa watu kuzitafuta zinakopatikana.Kuna jamaa anaitwa Msemakweli alishtukia hizo PhD za mchongo akatoa na kitabu wahusika hawakuchukuliwa hatua zozote.Sasa watanzania wameona kuwa ili upate uteuzi au madaraka makubwa ya kisiasa na kiserikali basi lazima jina lako lianze na Dr of Professor .Hata kwenye vikao vyetu vya mtaani ni ujiko sana mtu kuitwa Doctor .Tuseme ukweli nani hataki kuitwa Doctor.Big up wenye PhD za kweli na za mchongo.Kwahiyo Mzee Mwandosya atulie pale wazee waliopoanzia vijana wanamalizia nao wanataka kula keki ya Taifa.
Muhas nani aende shule serious kiasi hicho, au aende SUA, shule haitaki mbwembwe, zamani walikuwa wanaendaga Open university Sasa hivi wanakimbilia Udom, kwenye mtelezo wa Ganda la ndizi.Hata muhas..hakuna huu upuuzi..ila vyuo vya vilaza udsm na udom njaa tupu.
#MaendeleoHayanaChama
Licha ya kuwa strictly, shule ya pale si mchezo mchezo ka hizi Course nyepesiI agree [emoji1666][emoji1666] wako very strict.
Hafu ma Prof, na Dr utendaji wao huwa duni kuliko wenye bachelor zao, hao wanatakiwa wabaki chuoni, huku kwingine wanachemsha vibaya, ona jinsi Magu aliwateua wengi na hamna walichokifanya Cha maanaKuna jamaa anaitwa Msemakweli alishtukia hizo PhD za mchongo akatoa na kitabu wahusika hawakuchukuliwa hatua zozote.Sasa watanzania wameona kuwa ili upate uteuzi au madaraka makubwa ya kisiasa na kiserikali basi lazima jina lako lianze na Dr of Professor .Hata kwenye vikao vyetu vya mtaani ni ujiko sana mtu kuitwa Doctor .Tuseme ukweli nani hataki kuitwa Doctor.Big up wenye PhD za kweli na za mchongo.Kwahiyo Mzee Mwandosya atulie pale wazee waliopoanzia vijana wanamalizia nao wanataka kula keki ya Taifa.
Jafo kaandika kuhusu mambo ya Education na ka copy title ya Mkenya ka ilivo sema yeye akaweka tu Tanzania, ikawa imeisha hyoJaffo alikuwa na degree ya kwanza ya mapishi sasa hii ya sasa hivi sijui ni PHD ya Mazingira.
Swala LA Elimu limekuwa rahisi sana kwa Tanzania.
Hii nchi hua nasema..viongozi wake wanalaana..wanaitia unajisi hii nchi.Muhas nani aende shule serious kiasi hicho, au aende SUA, shule haitaki mbwembwe, zamani walikuwa wanaendaga Open university Sasa hivi wanakimbilia Udom, kwenye mtelezo wa Ganda la ndizi.
Hahahah,
Mwandosy alikuwa mwenyekiti wa bodi ya chuo Mwalimu Nyerere memory academy kama sikosei akakosana na mwendazake akafurushwa kwa spidi ya wahuni.
Ok. Haya uliyoandika ungetuwekea docs tuamini. Kusoma ni kugumu yes kama hujaamua kusoma ila kusoma ni raha sana kama una lengo la kuwa msomi.Walioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande
Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?
Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.
Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
Prof anataka apewe muongozoWalioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande
Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?
Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.
Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
Walioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande
Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?
Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.
Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
Mto mada una mwono mdogo sana wa mambo. Ukitaka kujua phd. Nyingi za wanasiasa zimetoka chuo gani tafuta takwimu uje nazo. Nafikiri jalala university itaongoza.Walioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande
Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?
Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.
Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
PhD mtu anafanya kutokana na background yake. Sasa unataka mtu aliyesoma uchumi akatafute phd ya dawa za mifugo? Unaelewa kweli ulichoandika?... SUA, MUHAS, na AU walafi wa PhD hawatii pua pale! Bachelors zenyewe zinasotewa 5 years ndio itakuwa PhD; that's the reason. Wanakimbilia huko kwenye degree laini laini and easy to forge. PhD (Veterinary Medicine), PhD (Medicine), PhD (Architectural Studies) sio mchezo mchezo.
Je, ni kweli Wanasiasa Wanafanya PhD kama Wengine?
Nataka nishee mawazo yangu kuhusu Doctor Jafo S.S. kujipatia PhD. ndani ya muda. Kabla ya hapo niseme kwanza haya maneno yanayofuata.
Nimekumbuka wanasiasa wachache waliojipatia PhDs wakiwa mawaziri au vyeo vingine serikalini: Dr. Magufuli J.P.J., Dr. Nchemba, M.L., Dr. Biteko, M.D., et al.
Nianze kwa kukumbusha kwamba kusoma PhD ni kugumu sana, nadhani mtakubaliana nami. Kuanza kuandaa proposal, ifikie viwango vya kuridhisha supavaiza, idara na chuo. Aandae study design iliyonyooka ili apate kibali cha utafiti kutoka chuoni.
Siyo tu kibali, bali ukusanyaji data na uchakataji wake ili ulete maana na matokeo tarajiwa au kinyume.
Baada ya hapo kuna zile progress ambazo mara urudi field, mara udizaini upya study, mara ubadilishe objectives, n.k.
Wakati wote huo ukimeinteini constant communications/meeting with supervisors. Huku ukijitahidi kupablishi kwenye predator journals na conferences ili utimize vigezo vya chuo husika.
Hili tunaliona kwa career academicians ni GUMU sana sana wakati hawana kazi nyingine zaidi ya kusoma tu ili wapate hiyo PhD. Wengine hadi wanafikia kushindwa kumaliza PhD na kulazimika kubadilishia kada ya kazi (au kufukuzwa hapo zamani).
Sasa tujiulize, mtu ni waziri, ana majukumu kede kede nchi nzima. Anazunguka na raisi au waziri mkuu au makamu wa raisi. Wakati huo huo anakimbizana na dharura zinazojitokeza wizarani na nchini pote. Je, mtu huyu anapata wapi muda wa kufanya yote ya hapo juu ili apate PhD?
Najiuliza na sidhani kama nitaweza kujijibu NAOMBA mnisaidie. Hawa wanasiasa wanapataje PhD kirahisirahisi wakati career academicians wanashindwa?
Nafikiri jibu likipatikana litasaidia wengine wengi waweza kufanikisha jambo hili.
Nitoe mifano miwili tu midogo. Nina wanafunzi wa MSc. Eng. wawili. Wanafanya kazi. Imekuwa taabu sana kupata progress ninayoitegemea kwao kutokana na majukumu ya kazini. Kumbuka hawa wanafanya kazi kitengo kimoja tu na siyo nchi nzima. Ninaye mwingine wa PhD., yeye hata proposal bado hajaweza kuikamilisha na mwaka unaisha. Kwanini? Ametingwa na majukumu ya kazini.
Iweje leo mtu anazunguka Tanzania nzima, yupo bungeni, anaenda nchi za nje, ana majukumu lukuki ya kitaifa. Anawezaje kumaliza PhD kwa haraka hivyo?
Nijibuni ili niwasaidie wanafunzi wangu jamani wamalize haraka kwa muda. Sababu kama waziri anaweza kwanini wao washindwe?
Ninachofikiria, inawezekana kuna kamchezo kachafu kanakofanywa na wanasiasa. Labda study wanafanyiwa na CONTRACTORS halafu anamwambia mwanafunzi akariri na kuprezenti. Hili yawezekana linafanyika bila supavaiza kujuwa au anajuwa lakini anaona bora liende tu.
Hili yawezekana hata hawa wanafunzi wengine wanafanya lakini kwa kiwango cha chini. Ndiyo maana wanachelewa kumaliza. Hawa wanasiasa wanafanya kiwango cha juu ndiyo maana wanamaliza mapema.
Nimefikiria tu. Nimefikiria nikaona nirushe hapa ili mnichape bakora.
Lakini nitashukuru mkinielekeza wanachofanya wao ili niweze kuwasaidia wanafunzi wangu.
Ikitokea siku nipate wasaa, nitaongea na Dr. Jafo, Dr. Biteko, Dr. Nchemba, et al. Nitawauliza mliwezaje wezaje? Wengine wanashindwa wakati wana vikazi vidogo vidogo tu.
Asalaam.
Aviti T. Mushi
Aliyechelewa kupata PhD, hivyo anawashangaa wanasiasa wanaowahi kuzipata ndani ya muda.
TAKUKURU waingie kazini. Ila sijui kama watakua na uthubutu
Si mlisema UDSM na UDOM ndo vyuo bora nchini imekuaje ten??
... wanasiasa wenye background za PhD ni wa vyuo vingine isipokua SUA, MUHAS, na AU au sio?PhD mtu anafanya kutokana na background yake. Sasa unataka mtu aliyesoma uchumi akatafute phd ya dawa za mifugo? Unaelewa kweli ulichoandika?
Je aliyekuwa Rais wa DRC Congo ndg Joseph kabila nae kugraduate PhD mwaka huu nafikiri. Kama sikosei ni nchini Ufaransa . Ila naweza kuamini JPM alikuepo na PhD halali historia ya JPM ni mchapakazi asiyelala Usiku labda hawa wanasiasa wengine naamini aliweza kutenga mda wa kuisoma PhD yake. Katika historia na mawaziri Kichwa cha JPM kinaonekana kipo vizuri kwenye takwimu kwote alikokokuwa waziri kuanzia barabara , ardhi na mifugo. Ila pia kipindi cha JPM aliwaamini Sana wasomi katika utendaji kazi ndio maana wanasiasa wengi walijiunga kusoma ili wasikose teuzi za JPM. kumbuka sio hawa tuu S S Jafo , L M Nchema, Doto Biteko Pia akina aweso wamegraduate Masters wakiwa mawaziri lakini pia wakuu wa wilaya kibao wapo na masters mfano zainabu abdala. Mimi nikukumbuka jinsi nilivyoisotea MSc yangu napata wasiwasi na hawa wanasiasa wamepataje mda wa kuzisoma hizo master s na PhD zaoJe, ni kweli Wanasiasa Wanafanya PhD kama Wengine?
Nataka nishee mawazo yangu kuhusu Doctor Jafo S.S. kujipatia PhD. ndani ya muda. Kabla ya hapo niseme kwanza haya maneno yanayofuata.
Nimekumbuka wanasiasa wachache waliojipatia PhDs wakiwa mawaziri au vyeo vingine serikalini: Dr. Magufuli J.P.J., Dr. Nchemba, M.L., Dr. Biteko, M.D., et al.
Nianze kwa kukumbusha kwamba kusoma PhD ni kugumu sana, nadhani mtakubaliana nami. Kuanza kuandaa proposal, ifikie viwango vya kuridhisha supavaiza, idara na chuo. Aandae study design iliyonyooka ili apate kibali cha utafiti kutoka chuoni.
Siyo tu kibali, bali ukusanyaji data na uchakataji wake ili ulete maana na matokeo tarajiwa au kinyume.
Baada ya hapo kuna zile progress ambazo mara urudi field, mara udizaini upya study, mara ubadilishe objectives, n.k.
Wakati wote huo ukimeinteini constant communications/meeting with supervisors. Huku ukijitahidi kupablishi kwenye predator journals na conferences ili utimize vigezo vya chuo husika.
Hili tunaliona kwa career academicians ni GUMU sana sana wakati hawana kazi nyingine zaidi ya kusoma tu ili wapate hiyo PhD. Wengine hadi wanafikia kushindwa kumaliza PhD na kulazimika kubadilishia kada ya kazi (au kufukuzwa hapo zamani).
Sasa tujiulize, mtu ni waziri, ana majukumu kede kede nchi nzima. Anazunguka na raisi au waziri mkuu au makamu wa raisi. Wakati huo huo anakimbizana na dharura zinazojitokeza wizarani na nchini pote. Je, mtu huyu anapata wapi muda wa kufanya yote ya hapo juu ili apate PhD?
Najiuliza na sidhani kama nitaweza kujijibu NAOMBA mnisaidie. Hawa wanasiasa wanapataje PhD kirahisirahisi wakati career academicians wanashindwa?
Nafikiri jibu likipatikana litasaidia wengine wengi waweza kufanikisha jambo hili.
Nitoe mifano miwili tu midogo. Nina wanafunzi wa MSc. Eng. wawili. Wanafanya kazi. Imekuwa taabu sana kupata progress ninayoitegemea kwao kutokana na majukumu ya kazini. Kumbuka hawa wanafanya kazi kitengo kimoja tu na siyo nchi nzima. Ninaye mwingine wa PhD., yeye hata proposal bado hajaweza kuikamilisha na mwaka unaisha. Kwanini? Ametingwa na majukumu ya kazini.
Iweje leo mtu anazunguka Tanzania nzima, yupo bungeni, anaenda nchi za nje, ana majukumu lukuki ya kitaifa. Anawezaje kumaliza PhD kwa haraka hivyo?
Nijibuni ili niwasaidie wanafunzi wangu jamani wamalize haraka kwa muda. Sababu kama waziri anaweza kwanini wao washindwe?
Ninachofikiria, inawezekana kuna kamchezo kachafu kanakofanywa na wanasiasa. Labda study wanafanyiwa na CONTRACTORS halafu anamwambia mwanafunzi akariri na kuprezenti. Hili yawezekana linafanyika bila supavaiza kujuwa au anajuwa lakini anaona bora liende tu.
Hili yawezekana hata hawa wanafunzi wengine wanafanya lakini kwa kiwango cha chini. Ndiyo maana wanachelewa kumaliza. Hawa wanasiasa wanafanya kiwango cha juu ndiyo maana wanamaliza mapema.
Nimefikiria tu. Nimefikiria nikaona nirushe hapa ili mnichape bakora.
Lakini nitashukuru mkinielekeza wanachofanya wao ili niweze kuwasaidia wanafunzi wangu.
Ikitokea siku nipate wasaa, nitaongea na Dr. Jafo, Dr. Biteko, Dr. Nchemba, et al. Nitawauliza mliwezaje wezaje? Wengine wanashindwa wakati wana vikazi vidogo vidogo tu.
Asalaam.
Aviti T. Mushi
Aliyechelewa kupata PhD, hivyo anawashangaa wanasiasa wanaowahi kuzipata ndani ya muda.
Nchi hii kila kitu SIASA HATA HUYU ANA PHDWalioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande
Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?
Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.
Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.