tatizo sio kuwa na part time lecturers,ila kutegemea tu part time lecturers bila kuwa na mtaalam wa kozi husika kwenye school,uwe muelewa.
huyu mleta mada hajaenda shule kabisa. Nimetoka udom juzijuzi nasubiri shavu we endelea kuchonga tu. Ishu ya part time ni kawaida kibongobongo mpk out na sio dom tu. Vyuo vingi vya tz vinatumia part timer but udom ina walimu nyomi na wengine huchukuliwa na vyuo vingine.
kuwa na part time lecturer sio tatizo watu wanaenda uingereza kufundisha kipind kimoja au course flan then anarud tz kuendelea na shughuli zake. Wanaoponda udom ndio hao hao walioomba nafasi wakakosa. ukitaka kusoma udom faulu kwanza form six au ngaz zingne za nacte with good performance. Heko kwa Prof.kikula na wasaidizi wake
swala hapa sio kupata kazi.swala hapa ni,je,hiyo kazi unaweza kuifanya?umefundishwa na wataalam?ubora wa elimu ya tanzania uko wapi?kwa namna hii tuta produce proffessions watakaoshindana katika east african community? Je hii ni standard?au ni kisiasa?.
swala hapa sio kupata kazi.swala hapa ni,je,hiyo kazi unaweza kuifanya?umefundishwa na wataalam?ubora wa elimu ya tanzania uko wapi?kwa namna hii tuta produce proffessions watakaoshindana katika east african community? Je hii ni standard?au ni kisiasa?.
hii taarifa si ya kudharau na kubeza jamani: kuna mambo yamezungumzwa na yana ukweli kama kuna uwezekano yalekebishwe fasta.
Nina ndugu yangu yuko hapo Udom anasoma Development Studies(Degree) yuko mwaka wa Pili; mpaka sasa hivi ananisumbua eti mimi nimtafutie Field Placement ili aweze kupotezeapo muda kwa kipindi cha takribani miezi 3 ya likizo.
Ananiambia Chuo hakina mpango wa kuwatafutia sehemu ya kufanya Field wameambiwa anayetaka atafute kwa matakwa yake na mpango wake. Alafu nilimuuliza kuhusu Research akaniambia kwamba waliandika Research proposal na kuimaliza kwa muda wa wiki mbili ambayo ni Title moja kwa kundi moja lenye wanafunzi 3-5, nilipomuhoji sana juu ya hilo akaleta dalili za kukasilika nikajua hamna kitu, kwani binafsi Research Proposal ya namna hiyo sijawahi ona.
Hivyo naweza kusema kwamba UDOM bado kuna ubabaishaji katika maeneo fulanifulani
UDOM ni mojawapo ya VYUO vya HOVYO kabisa kutokea TANZANIA, kwa postgraduate degrees hali ni mbaya zaidi maana wanafundishwa na walimu wengi wenye degree moja, kwa undergraduate kozi nyingi hata mazoezi kwa vitendo hawaendi, TUMEONGEZA IDADI YA WAHITIMU KWA CHUO HIKI CHA KATA BILA KUZINGATIA UBORA WA ELIMU.
hii taarifa si ya kudharau na kubeza jamani: kuna mambo yamezungumzwa na yana ukweli kama kuna uwezekano yalekebishwe fasta.
Nina ndugu yangu yuko hapo Udom anasoma Development Studies(Degree) yuko mwaka wa Pili; mpaka sasa hivi ananisumbua eti mimi nimtafutie Field Placement ili aweze kupotezeapo muda kwa kipindi cha takribani miezi 3 ya likizo.
Ananiambia Chuo hakina mpango wa kuwatafutia sehemu ya kufanya Field wameambiwa anayetaka atafute kwa matakwa yake na mpango wake. Alafu nilimuuliza kuhusu Research akaniambia kwamba waliandika Research proposal na kuimaliza kwa muda wa wiki mbili ambayo ni Title moja kwa kundi moja lenye wanafunzi 3-5, nilipomuhoji sana juu ya hilo akaleta dalili za kukasilika nikajua hamna kitu, kwani binafsi Research Proposal ya namna hiyo sijawahi ona.
Hivyo naweza kusema kwamba UDOM bado kuna ubabaishaji katika maeneo fulanifulani
why are you lying pre maturely??!!!!
You mean a tutorial assistant akafundishe masters class????!!!!Kweli kabisa at a university level???!!
Wewe ni mnafiki regardless your age! !!! Unamjua director wa PG hapo mahali???!!!Unamjua mtu anaitwa Kinabo???!!
Hebu weka hiyo program,college,school na department ambayo kuna hiyo situation unayosema!!!!
Director wa programme au course ndiye anyefundisha modules zote? UDOM ni chuo cha OVYO na graduates wa UDOM hasa kwa masters watasugua lami sana unless wawe ni inservise, nina uthibitisho wa vijana kadhaa niliotakiwa kufanya nao kazi kama research assistants , toka UDOM ni MAJANGA.
hiyo ndo hali halisi..! Ukweli ambao ni mchungu, huwezi kufananisha bachelor degree of development planning ya IRDP (mipango) na ya UDOM.
tatizo sio kuwa na part time lecturers,ila kutegemea tu part time lecturers bila kuwa na mtaalam wa kozi husika kwenye school,uwe muelewa.
...we unafikiri hiyo Field Placement ambayo mwanafunzi mwenyewe anaenda kutafuta kwa kubuni itakua na ufanisi kweli hiyo!!!, wewe kama ulifanya Field Bungeni kwa kujitafutia mwenyewe shukuru Mungu ulibaatisha; na ata hivyo nina mashaka na ulichosoma darasani as Theory kama ndicho ulienda kufanyia Practical sana sana na we ulienda tu huko ili nawe uonekane uko Field:MDOGO WAKO NDIO ICON YA FAMILIA?????
THEORY KASOMA LINI MPAKA AAMBIWE KUANDIKA PROPOSAL??!!!!
MUULIZE WANASOMA RESEARCH METHODS MARA NGAPI NA ZINATOKA IDARA GANI!!!??
KUHUSU FIELD PLACEMENTS SIO VYUO VYOTE WANATAFUTIA WANAFUNZI WOTE AS MAOFISI WAMEKUWA HESITANT KICHUKIA WANAFUNZI,I GRADUATED UDSM 2007 NA FIELD NILOFANYA BUNGE KWA KUTAFUTA MWENYEWE CHUO IDARA ILINIPA INTRO LATER TU
ENDELEA KUMCHUKULIA MDOGO WAKO KAMA THE VALID TRUTH!!!!!
Chalenge; Muulize anasoma course ngapi kwa mwaka na kama wanatumia unit au credits,then akupe GPA yake ndo utajua level ya mdogo wako
...we unafikiri hiyo Field Placement ambayo mwanafunzi mwenyewe anaenda kutafuta kwa kubuni itakua na ufanisi kweli hiyo!!!, wewe kama ulifanya Field Bungeni kwa kujitafutia mwenyewe shukuru Mungu ulibaatisha; na ata hivyo nina mashaka na ulichosoma darasani as Theory kama ndicho ulienda kufanyia Practical sana sana na we ulienda tu huko ili nawe uonekane uko Field:
sifa za kijinga tuache, Kitu cha msingi ambacho unatakiwa ukijue na kinachoongelewa hapa ni Juu ya ubora wa elimu inayotolewa UDOM hasa kwa baadhi ya Course, uwezi kuniambia nikakuelewa kwamba Mwanafunzi apewe INTRO LETTER aende mwenyewe kuangaika kutafuta Field Placement kusikojulikana bila Supervison yoyote ile alafu at the end of the day uniambie eti huyo mwanafunzi amejifunza kwa vitendo..
Of coz uhozo huu siyo UDOM peke yake bali ata Vyuo vingine upo ila unatofautiana lakini atuwezi kusema ni kawaida tuache hivyohivyo. Imagine mtu anamaliza Degree ya kwamba ukiangalia Transcript yake unakuta amesoma Research Methodology na ameandika Dissertation/research paper na vyote amefaulu sana tu-ukimuuliza Statement of the Problem ameipataje anajikanyaga tu.
Tuache sifa, tupende kukosolewa na kushauriwa na pia kuishauri Serikali panapowezekana kuongeza umakini, vinginevyo Elimu ya Juu tunaizika.