Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
UDOM ni mojawapo ya VYUO vya HOVYO kabisa kutokea TANZANIA, kwa postgraduate degrees hali ni mbaya zaidi maana wanafundishwa na walimu wengi wenye degree moja, kwa undergraduate kozi nyingi hata mazoezi kwa vitendo hawaendi, TUMEONGEZA IDADI YA WAHITIMU KWA CHUO HIKI CHA KATA BILA KUZINGATIA UBORA WA ELIMU.
tatizo sio kuwa na part time lecturers,ila kutegemea tu part time lecturers bila kuwa na mtaalam wa kozi husika kwenye school,uwe muelewa.
Hii sasa kali tena,, IRDP development and planning ndo major wengi wameanza cheti ,diploma then degree hapo hapo sasa why wasiwe wazuri sana kwa fani hiyo!!!! THOUGH WE NEED DATA ili kuendelea na huu mjadala wako ila uzoefu unaonesha hivyo so far!!!
Challenge; Wanaosoma mipango cheti na diploma degree za fani zao huwa wanasomea vyuo gani mkuu??!!!
mi naona we ndio kam sio muelewa kutegemea part time lecturers sio tatizo ata kama hakuna mtaalamu husika kwenye school.
cha muhimu hao malecturers wawe na sifa zinazoitajika, kumbuka udom ni chuo kipya bado wataalamu wake wengi wapo wasomoni ili baadae wawe malecturers.
kumbuka inaweza kuchukua si chini ya miaka 10 kwa chuo kipya kujitosheleza kwa asilimia kubwa kwa malectures iliyowasomesha kwa kozi mbalimbali.
hivi mkuu, ina maana mtaani hakuna wasomi wenye sifa hitajika wangeweza kuajiriwa hapo Udom, au tatizo limetokana na nini?
hiki chuo cha udom kitakuja kuleta ubovu mkubwa kwenye elimuu , sipati picha lawyerz wanaotoka udom itakuwajee , nahisi school of law wataiona ni moto kwao, wahasibu je kutoka udom? nahisi c.p.a wanaweza wakafanya hata mara mia
hivi mkuu, ina maana mtaani hakuna wasomi wenye sifa hitajika wangeweza kuajiriwa hapo Udom, au tatizo limetokana na nini?
kumbuka watu wanaoitajika kufundisha chuo kikuu ni academician wenye kuanzia degree mbili.
1 wasomi hao bado ni wachache sana tz
2 si kila msomi ana interest ya kufundisha,ndio maana vyuo vikuu vina utaratibu kubakiza baadhi ya wanafunzi na kuwaajiri kama tutorial assistant(ta) ili baade wasome wawe malecturers.
Kwa hiyo njia pekee na nzuri kuepuka na tatizo hili ni chuo chenyewe kuwa na sera za kusomesha ta kila mwaka
3 udom in kozi nyingi sana kuna kozi ambazo wataalamu wake kuwapata sio rahisi, na kuwaandaa pia inachukua mda(medicine,engineering)
nikupe mfano.wakati udom imechukua wanafunzi wa mwaka wa kwanza in medicine ilitumia walimu wa party time toka muhas na bugando, kwa kozi za mwaka 1&2, na wakati huo huo ilishapeleka vijana kusomea master medicine kwa ajili ya kufundisha kozi za mwaka 4&5(clinical medicine)
tayari wakufunzi hao wameitimu na ni waajiriwa wa udom as full time hawapungui 6, na wengine bado wapo vyuo mbalimbali wakisomea master.
Nb kwa chuo kipya sio rahisi kuweza kujitosheleza kwa mda mfupi,inaitaji mda. Na kamwe hauwezi kuanzisha chuo kikuu ukawa na waalimu wa kozi zote wanaotosheleza.
Ata chuo kikuu cha dsm wakati kimeanzishwa miaka ya 63--65,kilitegemea kwa sana visiting lecturers toka makerere na ulaya.
mi naona we ndio kam sio muelewa kutegemea part time lecturers sio tatizo ata kama hakuna mtaalamu husika kwenye school.
Cha muhimu hao malecturers wawe na sifa zinazoitajika, kumbuka udom ni chuo kipya bado wataalamu wake wengi wapo wasomoni ili baadae wawe malecturers.
Kumbuka inaweza kuchukua si chini ya miaka 10 kwa chuo kipya kujitosheleza kwa asilimia kubwa kwa malectures iliyowasomesha kwa kozi mbalimbali.
sijui kwanini unakua mbishi kwa vitu ambavyo viko wazi, au unataka tufiche uhozo wadogo zetu waendelee kupotoka kwa kupata elimu duni!...,Endelea na remorse zako mkuu watu wanakosa dawa, wanawake wanazalia chini we unashangaa mtu kukosa placement!!!
Nimejaribu kukupa picha halisi wewe umekamatana na story ya mtaani hiyo case yangu ni kiwa ujue vyuo vingi havipati nafasi kwa wanachuo wote wahitaji so kwa wanaokosa inabidi wajitafutie na sababu nimekupa kuwa ofisi nying zinachukulia kama trainees ni mzigo or something kwa hiyo wanachukua watu wachache sana. Sasa hapo chuo kinafanyaje kwa mfano!!!
Udom ni buzz word kwa sasa kwa hiyo sikushangai wala na vyuo si viko vingi pia wanaoona.pale.sio ni kupeleka kwingine tu dont bother.It is a new UNi a milestone ya chuo kikubwa sio kama ofisi binafsi kwa hiyo kipindi ambacho we are in shumbles UDOM is not exceptiona case
Hutaki unaacha