UDSM, IFM mbona mpo kimya majina ya vyuo vyenu yanapotumika katika video za ngono?

Jamaa wenye mipango ya kuowa wana safari ndefu sana
 
Ila ujue pia maranyingi Video za ngono wanao ziona ni watu wanaofuatilia mambo ya aina hiyo...namaanisha haziko easily accessible, na ujue Taasis kubwa huwa hazipambani na habari zisizo rasmi la sivyo zitakuwa kwenye kesi kila siku
Niseme tu ukweli, mimi sijawahi kukutana na hizo video pamoja na kuwa na magroup rasmi meengi tu
 
Umewahi kuona vyuo gani popote duniani wanafunzi wake wanasambaza picha za ngono na kuvihusisha moja kwa moja vyuo vyao?
Yaani hao wanafunzi wanapokatikiwa wqnataja vyuo vyao au nyie wapambe ndo mnahangaika kutafuta hii sura ya chuo gani?
 
We huna connection mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…