UDSM, IFM mbona mpo kimya majina ya vyuo vyenu yanapotumika katika video za ngono?

UDSM, IFM mbona mpo kimya majina ya vyuo vyenu yanapotumika katika video za ngono?

Hujui kutisha mtu mwambie simu yake imejaza mapepo ya ngono hii inasababisha awindwe na roho ovu kutaka kuzimu roho hizi ni chafu huweza kumuingia mtu kutoka kwenye simu!,umauti unamuwinda na hapo alipo hana tofauti na shetani wote wawili watawekwa kwenye moto wa jehanam.. mashetani wameshainywa damu yake na mwili wake wameufanya Kama mkate wanajimegea tu! Yupo katika kifungo cha uasherati!.

Mwambie aache ila atahitaji maombi ya nguvu pia sadaka atoe Sana.
Yani mie unitishie shetani mkuu hahahah utachelewa sana! Shetani tunaishi nae masaa 24 yupo tu wala sio swala😅 usipomnywa utamla au kumsikiliza bila kusahau kumuwaza
 
Oya wale niliowapa link mnaleta utoto wa kuingia kwenye group na kuleft kama chooni sasa mmewaponza wenzenu! Mtakula mlikopeleka mboga 😎 sitaki usumbufu kabisa!

Na leo inaachiliwa ya pepsi mtu akinifata namtukana sitaki upuuzi. Nisha reset link taari!
 
🤭

FB_IMG_16406673789386181.jpg
 
Tatizo lingine ni single parenting inaleta shida mtoto anakuwa hadi kufika mtu mzima hajalelewa na baba/mama yake mzazi ndio hivyo akiwa na uhuru tu anaona kila kitu ni halali kufanya
Licha ya single parenting ni vizuri kumweleza Binti madhara atakayo kutana nayo akifanya ujinga, pia ni vizuri kuwa expose watoto kwA mambo classics na if possible mzazi mpe mwanao pocket money ya maana, sio kidogo wengi wanaishia kudanga tu
 
Oya wale niliowapa link mnaleta utoto wa kuingia kwenye group na kuleft kama chooni sasa mmewaponza wenzenu! Mtakula mlikopeleka mboga 😎 sitaki usumbufu kabisa!

Na leo inaachiliwa ya pepsi mtu akinifata namtukana sitaki upuuzi. Nisha reset link taari!
Acha vurugu kijana tenda wema uende zako usingoje shukurani.
 
Shukurani gani chief😅 watu wanazingua ku left kindezi
Usituseme sana sasa we si uvumilie tu wengine hatujazoea.. Kama tu hatupo kwenye magroup ya familia tunaleft huko tunachungulia tu..😂
 
Back
Top Bottom