UDSM, IFM mbona mpo kimya majina ya vyuo vyenu yanapotumika katika video za ngono?

Pale udsm wapo watu toka mataifa mbalimbali sa cjaelewa uchunguz wako ulobain kuwa ni waethiopia au wanyarwanda bimaana hizo jamii haziwezi kuwepo udsm kama wanafunzi?
 
Tatizo ukilinganisha miaka ya zamani haswa kabla ya 2010 kurudi nyuma mabinti wengi walikuwa wanajiheshimu kutokana na mafundisho ya maadili kutoka kwenye jamii zao, kwasasa unakuta wazazi wako Bize kutafuta maisha wanashindwa kukaa na watoto wao kuwaonya na wengi wa vijana wa kike wanaofanya ujinga au wenye tamaa wanatoka vijijini wakifika mjini wanataka wawe wajanja kuwazidi wa mjini hapo ndipo wanapoharibikiwa
 
Video haziingii kwenye simu?
Hujui kutisha mtu mwambie simu yake imejaza mapepo ya ngono hii inasababisha awindwe na roho ovu kutaka kuzimu roho hizi ni chafu huweza kumuingia mtu kutoka kwenye simu!,umauti unamuwinda na hapo alipo hana tofauti na shetani wote wawili watawekwa kwenye moto wa jehanam.. mashetani wameshainywa damu yake na mwili wake wameufanya Kama mkate wanajimegea tu! Yupo katika kifungo cha uasherati!.

Mwambie aache ila atahitaji maombi ya nguvu pia sadaka atoe Sana.
 
Hawa watoto wa vyuo ni hatarii kabisa. Juzi Kuna binti mmoja anasoma chuo Cha Sharia IJA lushoto. Kaleweshwa akazima jamaa aliyemlewesha akakodi boda ampeleke gesti. Kufika gesti mama was gesti kamkataa maana binti alikuwa hata kusimama hawezi nikubebwa tuu. Ikabidi Wasamalia wema tuanze kutafta maji ya baridi na kumwagia . Lakini katika kumdadisi yule kijana akakili kuwa binti hajawahi kunywa pombe ndoo mara yake ya kwanza. Basi tulipambana Sana mwagia maji ya mvua na kumnywesha mengine. Hatimaye akazinduka. Akaanza kuona aibuu. Huyo kijana mwenzie akampandisha boda akasema anamrudisha chuo. Ila kwakweli wadau mtoto alikuwa pisi kalii balaa. Tako Kama lotee yaan angekutana na wahuni wangenfanyia kitu mbaya mnooo. Nilichojifunza watoto wakifika vyuoni wanakuwa free na kudanganyana. Niltamani nimchukue video Ila huruma ilinijia kuwa wazazi wakiona wanaweza zimia au mtoto kufukuzwa chuo.
 
Usipokuwa na strong connection hata hizo video hutaziona kabisa mkuu
 
Wahanga wakubwa ni wale waliotoka vijijini na bado washamba wanapaparikia jiji na kujiona wajanja kuliko wenyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…