Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Makada wazembe wazembePale wamejaa makada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makada wazembe wazembePale wamejaa makada
Hivi hiyo project ya ku-install solar panels si suala la kutonunua V8 mbili tu? Wanafuga vibaka kwenye Yale mapori bila sababuMakada wazembe wazembe
Kabisa mkuuHivi hiyo project ya ku-install solar panels si suala la kutonunua V8 mbili tu? Wanafuga vibaka kwenye Yale mapori bila sababu
Ukishasema 'project' hizo zinafanyika sana, hasa kwa kuzingatia role tatu za any university; Teaching, Research na Consultation. Kazi ya mplementation ya 'project' huwa hasa ni ya serikali au sekta binafsi, na sio university.Mna vitivo vya Uhandisi, sayansi, ICT sheria ila mpaka zama hizi mnakosa Solar power project kusaidia wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao?
Glorified high school ratherAliyesema ni extended high-school alikosea kweli?
Jamaa kadhaa nlosoma nao level tofauti za elimu,wamo vyuoni wskifundisha, masters, PhD..ndiyo nikajua kumbe wale wasomi nlokua nikiwa-adore zamani walikua hawana lolote,maana na hawa rafiki zangu bado wapumbavu tuUkishasema 'project' hizo zinafanyika sana, hasa kwa kuzingatia role tatu za any university; Teaching, Research na Consultation. Kazi ya mplementation ya 'project' huwa hasa ni ya serikali au sekta binafsi, na sio university.
Pale kuna academicians wa makaratasi na theory tu, kutunga maswali magumu ya mitiani, na kusolve matatizo ya kwenye vitabu tu,Mna vitivo vya Uhandisi, sayansi, ICT sheria ila mpaka zama hizi mnakosa Solar power project kusaidia wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao?
Mnakwama wapi?
**Kipi ninajivunia miaka 60 ya kuanzishwa kwenu?
Na huo ndio unaoitwa USHAMBAPriorities ni tatizo kubwa Kwa Mtanzania,tuna vipaumbele vya kijinga,kuvaa,gari Kali,simu kubadili deile,tunazidiwa sana na wakenya
V8 ni matakwa ya serikali kuna vyeo lazima upewe usafiri na derevajamaa wamejaza v8 pale parking utadhan wakala wa TOYOTA
Unataka kutuambia jambo gani labdaV8 ni matakwa ya serikali kuna vyeo lazima upewe usafiri na dereva
Mambo madogo hupelekea mambo makubwa ndugu! Udsm ingekuwa na wagunduzi wake wa kutatua changamoto 'ndogo' kama unavyoona, mfano umeme wa nguvu ya jua, kama taifa, lisingetumia ugunduzi huo kutatua tatizo la taifa zima?Mnapenda kuwaza mambo madogo madogo, badala ya kushangaa nchi kuwa na mgao wa umeme miaka 60 baada ya uhuru, wewe unawashangaa UDSM kukosa solar power!
Unaongelea hao extended high school?Mna vitivo vya Uhandisi, sayansi, ICT sheria ila mpaka zama hizi mnakosa Solar power project kusaidia wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao?
Mnakwama wapi?
**Kipi ninajivunia miaka 60 ya kuanzishwa kwenu?
Ukitaka kupima ufanisi na maendeleo nchi hii watakuambia tunatembelea magari ya kifahariMna vitivo vya Uhandisi, sayansi, ICT sheria ila mpaka zama hizi mnakosa Solar power project kusaidia wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao?
Mnakwama wapi?
**Kipi ninajivunia miaka 60 ya kuanzishwa kwenu?
Word...Mnapenda kuwaza mambo madogo madogo, badala ya kushangaa nchi kuwa na mgao wa umeme miaka 60 baada ya uhuru, wewe unawashangaa UDSM kukosa solar power!
Dah!...acha dharau mkuu heshimu taalumaJamaa kadhaa nlosoma nao level tofauti za elimu,wamo vyuoni wskifundisha, masters, PhD..ndiyo nikajua kumbe wale wasomi nlokua nikiwa-adore zamani walikua hawana lolote,maana na hawa rafiki zangu bado wapumbavu tu