UDSM mnakosa hata Solar power karne hii?

UDSM mnakosa hata Solar power karne hii?

Usishangae UDSM peke yake, wale wanasayansi/wagunduzi wa Kigiriki miaka hiyo mbona miaka hii yetu hawapo? Akili ya binadamu kadiri vizazi vinapoongezeka IQ inashuka. Kuna version mbalimbali za binadamu! I'm sorry to say this.
"Hard times create stronger people, stronger people create good times, good times create weak people and weak people create hard times".

Karne hii tume advance kwenye nyanja nyingi kupelekea matatizo tunayoyaona ya kawaida ambayo zama hizo yalikuwa makubwa tumesha yasolve hivyo tumekuwa (weak kwa sababu hakuna challenges) watu hawaumizi tena vichwa kwa sasa.
 
Wenzetu wanapambana na Artificial intelligence (AI) sisi umeme ishu. Ila V8 kama zote
 
Ha ha ha hakuna chuo pale bwana hasa kozi za uhandisi na afya tusidanganyane limebaki jina tu anyway kila mtu na preference zake [emoji4]
Au hukusoma UDSM? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aseeeh poleee
 
Mambo madogo hupelekea mambo makubwa ndugu! Udsm ingekuwa na wagunduzi wake wa kutatua changamoto 'ndogo' kama unavyoona, mfano umeme wa nguvu ya jua, kama taifa, lisingetumia ugunduzi huo kutatua tatizo la taifa zima?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Jifunze asili na tamaduni za uendeshaji wa afrika
 
Back
Top Bottom