- Kumbe UD inaachwa mbali na baadhi ya shule za kanisa; baadhi ya shule zinazalisha umeme wake.
- Aliyesema ni Extended High School amewaheshimisha sana.
- Parking ina thamani karibia trillion hivi
REDET ni genge la wahuniMna vitivo vya Uhandisi, sayansi, ICT sheria ila mpaka zama hizi mnakosa Solar power project kusaidia wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao?
Mnakwama wapi?
**Kipi ninajivunia miaka 60 ya kuanzishwa kwenu?
Nataka kusemaUnataka kutuambia jambo gani labda
Ni vyeti tu lakini bado wajinga vilevile na fikra zao juu ya issues tofauti Iko scripted Kama walivyosomaDah!...acha dharau mkuu heshimu taaluma
Hiyo V8 ndio kipaumbele cha viongozi wa Ccm na wateule wao.V8 ni matakwa ya serikali kuna vyeo lazima upewe usafiri na dereva
5. Wavunjaji wakuu wa sheria za usalama barabarani ni madereva wa viongoziHuo ni mfano halisi tu ila nchi kama nchi kusema kweli kabisa tuna shida sana.
Nikuhakikishie tatizo la kweli la nchi yetu wala sio hayo ya mgao sijui V8 siju ila ni mindset za watu. Kubali kataa bado tunasafari ndefu sana ili kufanana na binadamu wengine. Nitakupa mifano michache sana hapa chini
1. Polisi na wanajeshi ndio wasimamizi wakuu wa sheria lakini
a. Hawalipi nauli hata kama wanaenda mizunguko yao binafsi
b. Hawasimami kwenye foleni au kwenye traffic lights hata kama hawana emergency yoyote anatoka kazini au anaenda kazini
c. Polisi na usalama wa Taifa badala wasimamie sheria kwa haki wakati wa uchaguzi wanakuwa washirika namba moja kuiba kura na kukibakiza madarakani chama fulani hata kwa gharama za kuuwa watu
2. Tazama uendeshaji wa boda boda au daladala. Haijalishi kuna nini yeye lazima anataka kuwa mbele kabisa. Kwenye taa nyekundu hawasimami hata kama traffic yuko hapo au ndio anaongoza magari.
3. Utakuta mtu ana li V8 asubuhi anaenda kazini kavaa tai na suti ila barabarani anatanua hataki kukaa foleni hata kama hana emergency yoyote na huyu eiza ni mfanyabiashara au ofisa wa serekali ila kachelewa kutoka kwake sasa anapita barabarani kwa kutanua hataki kufata foleni
4. Wabunge, mawaziri na Rais hawalipi kadi kwenye mishahara yao na kila siku wako majukwaani wanaongelea umuhimu wa kadi na wanatunga sheria kukamata raia wasiolipa kadi
Ni mind set zetu tu tukiweza kuziweka sawa nchi hii maendeleo ndani ya miezi 6 tu mbona tunapata
🤣🤣🤣🤣 Akikwambia nistueUnataka kutuambia jambo gani labda
Kama ma professor na ma Dr waliotoka hapo wanapaita jalalani unategemea nin mkuuTaasisi inayozalisha wasomi ilitakiwa kuwa na mbadala wa umeme wa uhakika ili hata wasomi wake wakitoka hapo waone kuwa ni aibu nchi kuwa gizani waweze kutatua.
Wasomi wengi wanafiki ni zao la UDSMKama ma professor na ma Dr waliotoka hapo wanapaita jalalani unategemea nin mkuu
Wasomi wengi wanafiki ni zao la UDSMKama ma professor na ma Dr waliotoka hapo wanapaita jalalani unategemea nin mkuu
Hakuna sehemu inaongoza kwa rushwa kama mahakamani na polisi halafu unaambiwa eti ndio vyombo ya kusimamia haki za raia5. Wavunjaji wakuu wa sheria za usalama barabarani ni madereva wa viongozi
6. Walaji wa rushwa wakuu ni watu wa serikali
7. Taasisi zinazotoa huduma za hovyo ni za serikali.
Mbona ameshajibu soma post #44[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akikwambia nistue
Nliiona mkuuMbona ameshajibu soma post #44
VYuo vya uhandisi tanzania ni vitatu pekee "ATC ,DIT na MUST" sawa sawa na vya afya " MUHAS , BUGANDO na KCMC" .UDSM Watu wakasome ualimu na sheria basi .Mna vitivo vya Uhandisi, sayansi, ICT sheria ila mpaka zama hizi mnakosa Solar power project kusaidia wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao?
Mnakwama wapi?
**Kipi ninajivunia miaka 60 ya kuanzishwa kwenu?