UDSM, MUHAS & UDOM Vinashika Nafasi Tatu za juu kwa Vyuo Vikuu Kumi Bora Tanzania

Sawa Bwana GENTAMICINE.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Genta on fayaaaaa
 
Bado UDSM ni chuo bora sana. Ni ndoto za watanzania karibu wote kusoma pale. Tena watu wengi waliokosa nafasi UDSM huwa wanaenda kusoma masters pale. Mimi sijasoma UDSM kwa sababu nilifeli form six.
Kila sehemu lazima kinara apatikane, hamuwezi kulingana kila kitu.
 
Bwana introvert_007 Kiukweli DIT ni chuo kuzuri, lakini bado kinahitaji kupiga hatua zaidi, Katika vyanzo vyote nilivyotumia DIT kilikuwa hakiorodheshwi kabisa.
DIT hakiwezi kuwepo hata iweje

Dar es Salaam Institute of Technology kinatakiwa kishindanishwe na wenzie akina NIT, DMI, IAA, TIA, IFM, na KIT
Wengineo Institute of social studies, institute of planning
 
DIT hakiwezi kuwepo hata iweje

Dar es Salaam Institute of Technology kinatakiwa kishindanishwe na wenzie akina NIT, DMI, IAA, TIA, IFM, na KIT
Wengineo Institute of social studies, institute of planning
Bwana kisiju pwani uko sahihi.
 
Mbona hujawapa Tuzo!
 
Mimi ni product ya SUA najivunia kuwa miongoni wa mazao ya SUA.
 
Gentamicine unakipenda sana chuo chako cha SAUT-Mwanza,bila shaka kwasababu ulisoma hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…