T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Wote mnaosoma ranking za vyuo huwa mnakosea kitu kimoja muhimu sana tena sana. Wanaopanga hivyo vyuo huzingatia hasa ukubwa wa chuo na wingi wa vitivo na kozi za hapo. Chuo chenye vitivo 10 kitaonekana kikubwa kuliko chuo chenye vitivo 4 specialized.
Mfano DIT inaonekana ni ya chini kwa SAUT kutokana na SAUT ina kozi nyingi na majengo mengi. XXX ukianzisha chuo ukafundisha degree za kulea watoto na kufua nguo na design hiyo zikawa nyingi, mwingine YYY akaanzisha Institute inafundisha aircraft engineering na aeronautics pekee basi XXX unaonekana una chuo bora.
Marekani pale kuna vyuo kama Yale na Harvard vinatoa kozi nyingi sana na ni vikubwa, huwa vinaonekana ni vya juu kwenye ranks kuliko MIT ambayo kama huna akili kwanza hukanyagi pale, na ukikanyaga 'hutoboi' hata ulale juu ya mawe. Bado kuna chuo kimejikita kwenye afya tu cha John Hopkins University pale Maryland, private ila hakanyagi kilaza pale. Ile hata top 5 huikuti ila imetoa chanjo kibao na wanafunzi wake na maprof wake wanatibu magonjwa makubwa vibaya mno.
Hata pale UK haya mambo ndio yalifanya Cambridge University ijitenge na Oxford University pale Uingereza. Oxford ni pana na inapenda sanaa, Cambridge inafundisha sayansi zaidi na ni ndogo. Kwenye ranks utakuta Oxford ni kubwa.
Binafsi napendelea nchi iwe na specialization kwenye vyuo, Universities ziwe hata tatu pekee na vingine viwe institutes zenye specialization, tuwe na DIT, NIT na MUST nyingi sio unakuta Degree za HR kila chuo sasa HR ni nusu ya chuo wanaenda kupanga rasiliamali watu wapi?
Architecture ya Ardhi inakubalika sana ila UDSM nayo ina level za dunia (from someone ambaye amesoma nje).
Electrical Engineering ya MUST ilionekana ni bora kuliko ya chuo chochote bongo kwa wastani wakati tunaulizia vyuo tukiwa A level na hiyo ndio imani ya watu walio kwenye field hiyo. Civil ya UDSM nzuri zaidi, niliona hili nilipokuwa CCECC Wachina wanaikubali Civil ya UDSM, hata Yappi Merkezi ni hivyo. Hesabu yoyote ya Mzumbe inakubalika mno, TIA wanafaulisha GPA za 4+ ila tia maji, mitihani yao inavuja sana kwa kuwa wanatunga kwa kuzunguka branches. Hata CPA zao huwa ni ufaulu, ila actual performance ni tofauti kabisa. Wanaojua accounting wataleta ushahidi ni wangapi maofisi ni CPA ila kupanga hesabu anashindwa hadi na mwenye Diploma, hasa pisi kali zina CPA sijui wanatoa wapi wale
Mfano DIT inaonekana ni ya chini kwa SAUT kutokana na SAUT ina kozi nyingi na majengo mengi. XXX ukianzisha chuo ukafundisha degree za kulea watoto na kufua nguo na design hiyo zikawa nyingi, mwingine YYY akaanzisha Institute inafundisha aircraft engineering na aeronautics pekee basi XXX unaonekana una chuo bora.
Marekani pale kuna vyuo kama Yale na Harvard vinatoa kozi nyingi sana na ni vikubwa, huwa vinaonekana ni vya juu kwenye ranks kuliko MIT ambayo kama huna akili kwanza hukanyagi pale, na ukikanyaga 'hutoboi' hata ulale juu ya mawe. Bado kuna chuo kimejikita kwenye afya tu cha John Hopkins University pale Maryland, private ila hakanyagi kilaza pale. Ile hata top 5 huikuti ila imetoa chanjo kibao na wanafunzi wake na maprof wake wanatibu magonjwa makubwa vibaya mno.
Hata pale UK haya mambo ndio yalifanya Cambridge University ijitenge na Oxford University pale Uingereza. Oxford ni pana na inapenda sanaa, Cambridge inafundisha sayansi zaidi na ni ndogo. Kwenye ranks utakuta Oxford ni kubwa.
Binafsi napendelea nchi iwe na specialization kwenye vyuo, Universities ziwe hata tatu pekee na vingine viwe institutes zenye specialization, tuwe na DIT, NIT na MUST nyingi sio unakuta Degree za HR kila chuo sasa HR ni nusu ya chuo wanaenda kupanga rasiliamali watu wapi?
Architecture ya Ardhi inakubalika sana ila UDSM nayo ina level za dunia (from someone ambaye amesoma nje).
Electrical Engineering ya MUST ilionekana ni bora kuliko ya chuo chochote bongo kwa wastani wakati tunaulizia vyuo tukiwa A level na hiyo ndio imani ya watu walio kwenye field hiyo. Civil ya UDSM nzuri zaidi, niliona hili nilipokuwa CCECC Wachina wanaikubali Civil ya UDSM, hata Yappi Merkezi ni hivyo. Hesabu yoyote ya Mzumbe inakubalika mno, TIA wanafaulisha GPA za 4+ ila tia maji, mitihani yao inavuja sana kwa kuwa wanatunga kwa kuzunguka branches. Hata CPA zao huwa ni ufaulu, ila actual performance ni tofauti kabisa. Wanaojua accounting wataleta ushahidi ni wangapi maofisi ni CPA ila kupanga hesabu anashindwa hadi na mwenye Diploma, hasa pisi kali zina CPA sijui wanatoa wapi wale