UDSM, MUHAS & UDOM Vinashika Nafasi Tatu za juu kwa Vyuo Vikuu Kumi Bora Tanzania

UDSM, MUHAS & UDOM Vinashika Nafasi Tatu za juu kwa Vyuo Vikuu Kumi Bora Tanzania

Hizo asilimia umetoa wap mbna ukijumlisha inakuja watts karibu elf moja utadhani ni home theatre
Baada ya kufanya utafiti mdogo kuhusu vyuo kumi bora Tanzania, nimejiridhisha vya kutosha vyuo nitakavyo vitaja hapa ndivyo vyuo kumi bora kwasasa hapa Tanzania. Katika utafiti huu mdogo nimezingatia machapisho ya chuo husika kwenye international journals, tafiti za chuo husika, mchango wa chuo husika katika suala zima la maendeleo na vyanzo vikuu nane vinavyo toa orodha ya vyuo bora katika nchi mbali mbali na duniani kwa ujumla, ambavyo vyanzo hivyo ni www.webometric.com, www.TimesHigherEducation.com, www.AcademicRankingofWorldUniversities.com, www.Quacquarellisymonds.com, www.EduRank.com, www.ShanghaiRankingConsultancy, www.UniversityGru.com bila kuisahau TCU.

Kwasasa hapa Tanzania vyuo vifuatavyo ndivyo vyuo kumi bora

1. University of Dar es salaam(UDSM)- Acceptance 75%
View attachment 2278312


2. Muhimbili University of Health and Allied Sciences(MUHAS)- Acceptance 68%

View attachment 2278314

3. University of Dodoma (UDOM)- Acceptance 65%
View attachment 2278303

4. Sokoine University of Agriculture(SUA) - Acceptance 63%
View attachment 2278304

5. Ardhi University- Acceptance 58%
View attachment 2278321

6. Mzumbe University- Acceptance 48%
View attachment 2278306

7. Nelson Mandela African Institution of Science and Technology- Acceptance 48%

View attachment 2278307

8. State University of Zanzibar-Acceptance 41%

View attachment 2278308

9. Hubert Kairuki Memorial University-Acceptance 36%
View attachment 2278315

10.ST Joseph University of Tanzania- Acceptance 33%

View attachment 2278310



N.B
Katika kufanya upembuzi wangu huu, sijatumia chanzo kimoja ili kupata ranking hii, hapa nimetumia vyanzo nane vinavyojihusisha na ranking za vyuo vikuu kama nilivyozitaja huko juu.

Wanafunzi na wazazi hivi ndivyo vyuo vikuu vya hapa Tanzania ambavyo mwanafunzi/mtu anaweza kusoma na kutambulika ndani na nje ya nchi kirahisi.

Imeandikwa na Annunaki.
 
Hapana Mkuu, sikusoma huko Maeneo ya Rombo. Nilisoma Shule Moja Kongwe ipo maeneo ya Moshi mjini.. Ni Maarufu kama Shule ya sekondari ufundi Moshi Kabla ya kwenda kusoma High school pale Moshi School Miaka hiyo!
Shukhrani Bwana Alfred nimekupata vizuri sana.
 
Hizo asilimia umetoa wap mbna ukijumlisha inakuja watts karibu elf moja utadhani ni home theatre
Bwana Angera 1, Hizo asilimia kila chuo kimepewa asilimia zake za kukubalika kulingana na chanzo husika, kwahiyo mimi nimetumia average ili kupata asilimia ya chuo husika kwa references zote nane nilizotumia katika utafiti wangu huu mdogo.
 
Kama hakuna SAUT basi hio orodha ni batili
 
How can a Fool conduct this Research. To conduct a Research and leave aside Genius based University like SAUT Mwanza shows how a Researcher is somehow Mentally Retarded.

The table stands as follows....

1. SAUT Mwanza
2. Mzumbe University
3. Ruaha University
4. Open University of Tanzania
5. Mwenge University
6. Dodoma University
7. SUA
8. TEOFILO Kisanji University
9. St. John University
10. UDSM

Am done.....!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo kuhusu vyuo kumi bora Tanzania, nimejiridhisha vya kutosha vyuo nitakavyo vitaja hapa ndivyo vyuo kumi bora kwasasa hapa Tanzania. Katika utafiti huu mdogo nimezingatia machapisho ya chuo husika kwenye international journals, tafiti za chuo husika, mchango wa chuo husika katika suala zima la maendeleo na vyanzo vikuu nane vinavyo toa orodha ya vyuo bora katika nchi mbali mbali na duniani kwa ujumla, ambavyo vyanzo hivyo ni www.webometric.com, www.TimesHigherEducation.com, www.AcademicRankingofWorldUniversities.com, www.Quacquarellisymonds.com, www.EduRank.com, www.ShanghaiRankingConsultancy, www.UniversityGru.com bila kuisahau TCU.

Kwasasa hapa Tanzania vyuo vifuatavyo ndivyo vyuo kumi bora

1. University of Dar es salaam(UDSM)- Acceptance 75%
View attachment 2278312


2. Muhimbili University of Health and Allied Sciences(MUHAS)- Acceptance 68%

View attachment 2278314

3. University of Dodoma (UDOM)- Acceptance 65%
View attachment 2278303

4. Sokoine University of Agriculture(SUA) - Acceptance 63%
View attachment 2278304

5. Ardhi University- Acceptance 58%
View attachment 2278321

6. Mzumbe University- Acceptance 48%
View attachment 2278306

7. Nelson Mandela African Institution of Science and Technology- Acceptance 48%

View attachment 2278307

8. State University of Zanzibar-Acceptance 41%

View attachment 2278308

9. Hubert Kairuki Memorial University-Acceptance 36%
View attachment 2278315

10.ST Joseph University of Tanzania- Acceptance 33%

View attachment 2278310



N.B
Katika kufanya upembuzi wangu huu, sijatumia chanzo kimoja ili kupata ranking hii, hapa nimetumia vyanzo nane vinavyojihusisha na ranking za vyuo vikuu kama nilivyozitaja huko juu.

Wanafunzi na wazazi hivi ndivyo vyuo vikuu vya hapa Tanzania ambavyo mwanafunzi/mtu anaweza kusoma na kutambulika ndani na nje ya nchi kirahisi.

Imeandikwa na Annunaki.
Mbona tukikutana kufanya masters CPA nk hivyo ulivyotaja hatuoni wakifanya vema zaidi?
 
Bwana WAZO2010 ina maana hata leo hujaona kazi kubwa walichokifanya madaktari MUHIMBILI kutenganisha mapacha walioungana?
Chunguza. Kama huta kuta jopo lote ni Wazungu. Hawa wa kwetu huwepo kuangalia tu. Hata zile oparation za Moyo huwa ni Wazungu /Wahindi. Hawa wa Tz hata Jicho tu uki cheza unakuwa Kipofu.
 
KILE CHUO KIKUU CHA KILIMO PALE MOROGORO WANAJIONA WAKO VIZURI ILA KUMBE NAFASI YA NNE?
UKIWA NAO WANAFUNZI WANAONA WANASOMA VITU VIGUMU KUMBE NI HIVIHIVI TU,NA WAALIMU WAO VILE VILE WANADHANI WANA CHUO BORA KULIKO VYOTE TANZANIA.
SUA BANA KWA KUJITAPA WAKO NJEMA.
Tukushangae wewe unayefanya conclusion kwa maoni ya mtu mmoja wa jamiiforum. Kijana uwe analytical, acha mahaba. Vyanzo vyote vya kimataifa vimerank UDSM ya kwanza na SUA ya pili, ingawa kwa upande wa utafiti SUA hana mshindani. Wewe unakuja na maoni simple ya mtu na kuanza kuishambulia SUA, pathetic.
 
Tukushangae wewe unayefanya conclusion kwa maoni ya mtu mmoja wa jamiiforum. Kijana uwe analytical, acha mahaba. Vyanzo vyote vya kimataifa vimerank UDSM ya kwanza na SUA ya pili, ingawa kwa upande wa utafiti SUA hana mshindani. Wewe unakuja na maoni simple ya mtu na kuanza kuishambulia SUA, pathetic.
Kazi sana!
Nimeandika maoni ya watu na yanaonekana kila siku mitandaoni hata mitaani pia ila ushahidi ni chuo kuwa na kozi nyingi per semester nae hazina mipangilio wa kueleweka.

Halafu mimi sio kijana tafadhali.
 
Kila mtu angeandika mawazo ya kweli kuhusu chuo basi haya mambo ya udsm,udom,sua yangeisha.

Nimesoma udsm miaka hiyo ikiwa udsm ila ukiniambia udsm leo ikoje siwezi kuanza kusifia.

Kila chuo kina eneo kiko vizuri na kwingine bado sana,SUA kuna eneo wako njema (mfano VET hata huyo Prof ni wa VET),nina staff kadhaa wa pale tunakutana huku kwenye makongamano,na wanafanya kazi kubwa,ila kuna college zimelala hakuna lolote la maana zinafanya.

Udsm pale engineering wako na kazi nzuri pia,huku CONAS bado.

Udom CIVE wako mbali sana,CNMS bado sana.

Ingewezekana tuanze kufanya ranking kwa level ya college za vyuo sio vyuo vizima utakuta tunasema chuo fulani bora huku hata maabara za kueleweka hawana mfano nenda Udom,Udsm na Sua halafu rudi na hitimisho.

Sijaandika kuhusu MUST hawa wako mbali na wanajitahidi japo wanaanza ,DIT na ATC si universities ila wako vizuri.
Z
 
Chunguza. Kama huta kuta jopo lote ni Wazungu. Hawa wa kwetu huwepo kuangalia tu. Hata zile oparation za Moyo huwa ni Wazungu /Wahindi. Hawa wa Tz hata Jicho tu uki cheza unakuwa Kipofu.
Hata mie nilijua ni waTz wanafanya hizo operation wanatangaza na kusifia sana.

Nikajua kuwa wame advance sana mana kutoka kupasua kichwa baada ya goti hadi kufikia operation kubwa hivi, chini ya carpet sikuyajua hayo.
Yani wanakua watazamaji tu?
 
Back
Top Bottom