Hizo asilimia umetoa wap mbna ukijumlisha inakuja watts karibu elf moja utadhani ni home theatre
Baada ya kufanya utafiti mdogo kuhusu vyuo kumi bora Tanzania, nimejiridhisha vya kutosha vyuo nitakavyo vitaja hapa ndivyo vyuo kumi bora kwasasa hapa Tanzania. Katika utafiti huu mdogo nimezingatia machapisho ya chuo husika kwenye international journals, tafiti za chuo husika, mchango wa chuo husika katika suala zima la maendeleo na vyanzo vikuu nane vinavyo toa orodha ya vyuo bora katika nchi mbali mbali na duniani kwa ujumla, ambavyo vyanzo hivyo ni www.webometric.com, www.TimesHigherEducation.com, www.AcademicRankingofWorldUniversities.com, www.Quacquarellisymonds.com, www.EduRank.com, www.ShanghaiRankingConsultancy, www.UniversityGru.com bila kuisahau TCU.
Kwasasa hapa Tanzania vyuo vifuatavyo ndivyo vyuo kumi bora
1. University of Dar es salaam(UDSM)- Acceptance 75%
View attachment 2278312
2. Muhimbili University of Health and Allied Sciences(MUHAS)- Acceptance 68%
View attachment 2278314
3. University of Dodoma (UDOM)- Acceptance 65%
View attachment 2278303
4. Sokoine University of Agriculture(SUA) - Acceptance 63%
View attachment 2278304
5. Ardhi University- Acceptance 58%
View attachment 2278321
6. Mzumbe University- Acceptance 48%
View attachment 2278306
7. Nelson Mandela African Institution of Science and Technology- Acceptance 48%
View attachment 2278307
8. State University of Zanzibar-Acceptance 41%
View attachment 2278308
9. Hubert Kairuki Memorial University-Acceptance 36%
View attachment 2278315
10.ST Joseph University of Tanzania- Acceptance 33%
View attachment 2278310
N.B
Katika kufanya upembuzi wangu huu, sijatumia chanzo kimoja ili kupata ranking hii, hapa nimetumia vyanzo nane vinavyojihusisha na ranking za vyuo vikuu kama nilivyozitaja huko juu.
Wanafunzi na wazazi hivi ndivyo vyuo vikuu vya hapa Tanzania ambavyo mwanafunzi/mtu anaweza kusoma na kutambulika ndani na nje ya nchi kirahisi.
Imeandikwa na Annunaki.