Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
No usiseme location yake maana itakuwa ni kinyume na sheria za JF. Nuff with this snitch kwa sasa. Wanafunzi wengi wamepewa picha yake na wanamkimbia kama ugonjwa hatari wa ebola
MKUU ANTI UNAMDHALILISHA MKANDARA HAPO TETEA AU JENGA HOJA ZINGINE NA SIO MATUSI NA VITISHO DHIDI YA MKANDARA UJUE HAYO NI MAKOSA KISHERIA
KWAHIYO NIKIKAA KATIKA KUNDI LA WATU 2000 MTU ATAWEZA KUTAJA EEEH KWA HAKIKA YULE NI SHY KWELI BIOMETRICS BONGO INAFANYA KAZI TEHE TEHE
MWAFRIKA WA KIKE KESHO NITAKUWA PALE MLIMANI KUANZIA SAA 1 ASUBUHI WAAMBIE HAO WAANDAAJI WA MIGOMO NINA HAMU SANA KUONANA NAO NA NITAWARUSHA LIVE KUPITIA YOUTUBE BABAKE
SHY ni nasubiri PM
Mwanamke
wasaliti AKA nyoka hua mara nyingi huwa wapigaji wa mawe yani wengi wanaopiga mawe CCM ndio hao hao nyoka
Wewe, inteligence unit ya JF ilianza kukufuatilia baada ya usaliti wako dhidi ya waendeshaji wa JF. Kwa sasa umewekwa kwenye microscope. Ukirudia kufanya ujinga kama ule utakomeshwa kabisaaaaa!
kaa mbali kabisa na hao vijana!
MIKE NA MAX BILA AIBU WALISEMA NIMEPEWA MILIONI 5 NA USALAMA WA TAIFA NITAJE WALIPO
EHHH KWELI USALAMA WA TAIFA NYANYA KABISA YAANI WALISHINDWA VYOTE HIVI MPAKA MIMI NA NILIVYOKUWA BUSY HIVI
Tatizo lako, wewe hukupewa hata pesa kusaliti wenzako. Wivu wako tu kwa mafanikio ya wenzako na kujikombakomba kwako kwa polisi ndiko kulikupelekea uwasaliti wenzako.
Huna haya nyoka mkubwa wewe!
Hayo yanafanyika huko ccm na sio hapa JF
SASA UNA USHAHIDI WOWOTE ?
NAKUPA UWANJA UELEZEE MADAI YAKO ITA HUYO MIKE NA MAX NAO WAJE WAELEZE YAO ITA ATHUMANI HAMISI , ITA BILL NAE ASEMA YAKE
MWAFRIKA WA KIKE USIJIDHALILISHE NAJUA UNATAFUTA UMAARUFU NA ATTENTION WENZAKO HAWAPIGANI KIHIVYO
CHOKA MBYA WEWE
Kwa hiyo wewe unawafahamu wanacha wote wa jf sio
ok mkubwa
Mkama
Ndio Maana Nasema Haini Kama Huyu Wakiruhusiwa Kuendelea Na Uwendawazimu Wao Ndani Ya Jf Basi Ipo Siku Moja Jambo Litatokea
Kama Ndio Hivyo Hata Ile Email Yako Siijibu Bibi Yangu Mwafrika Wa Kike
Hakuna chochote kitakachotokea zaidi ya watu kama wewe kudhibitiwa hapa na ujinga wako uliotaka kuuleta hapa na kuvunja huu mtandao muhimu sana kwa manufaa ya watanzania.