wewe sisi watu wa UD tuko active sana humu JF.
sema tu shida hatujiandiki kuwa ni watu wa ud
Angalia post zetu wote ni wapya, mmekuja kama mmeelekezwa kuwa JF watamaliza matatizo yenu, jitahidini kufuta sheria hata kama ni haki yenu, itachelewa lakini mtaipata, mwaka wa mwisho wanagoma ili iweje wamebakiza nearly two weeks kumaliza shule then wakipigwa mwaka mwingine inakuwaje. Je walikamatwa na bangi nao mnawatetea, wanaofanya ufusika mbele ya macho ya watu nao wanatetewa, tunajenga jamii gani ya wasomi wasio heshimu utamaduni wa mtanzania, hawa ndo wanaanza kujifunza ufisadi hukuhuku maana wanakua wanajua kuwa msomi anafanya anachotaka.