Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
hivi hawa wanafunzi si ndio wale waliitwa diamond na jakaya kisha wakapewa flana na kofia na chakula cha mchana wakatoka wanaimba kwa mbwembwe na mikogo nyimbo za kuisifia CCM?
sasa leo hii kwenye ukweli wanakuja JF kutaka msaada upi? mi nahisi wakienda CCM makao makuu kueleza yaliyowasibu itakuwa vizuri zaidi.
acha sie tushughulike na mafisadi bwana.
Mimi kwa upande wangu hawa wanafunzi wa Chuo kikuu wa karne hii ni mabishoo waliojaa ubinafsi. Kuna ishu chungu nzima zinazogusa mustakabali wa nchi hii lakini hukuti hata siku moja wakizichambua na kuzitolea matatamko.
Wao kama wasomi wanaotegemewa na Taifa kuwa viongozi na watendaji, wanawajibu wa kuyachambua mambo muhimu kwa taifa hili kwa niaba ya watanzania wao ambao hawakupata nafasi hiyo. Hivi hawafahamu kuwa wakulima masikini wanawategemea wao kuwasaidia katika kuikosoa serikali kwa mambo mengi ya kijinga inayofanya??
Inanitia kinyaa kuona muda wote wapo kimya na wanapoona masuala yao yameguswa ndio wanaomba msaada kwa watanzania.
sidhani kama ni vyema kuwahukumu hawa wanafunzi kwa makosa ya nyuma.
Nafikiri nyote mwafahamu wanafunzi wnegi wa chuo hufuata mkumbo wakifikiria tu kupata chochote cha tumbo.
sidhani kama ni vyema kuwahukumu hawa wanafunzi kwa makosa ya nyuma.
Nafikiri nyote mwafahamu wanafunzi wnegi wa chuo hufuata mkumbo wakifikiria tu kupata chochote cha tumbo.Thinking critically, kutowapa suluhisho kwa kuwa tu walishangilia mbio za CCM pake Diamond hakutakua ni faida zaidi ya kuwaongezea machungu.
Washaurini watoto hawa
tena wakamatwe kweli!!! hawajui walichoendea pale chuoni
Nimepigiwa simu sasa hivi na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa IT,
hakuna kozi hiyo pale mlimani,navyojua kuna Bsc. in Computer science pekee,hauna haja ya kutupa namba.siye wenyewe tutajua.
Invisible fuatilia suala hili kwa ukaribu,