Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
hivi hawa wanafunzi si ndio wale waliitwa diamond na jakaya kisha wakapewa flana na kofia na chakula cha mchana wakatoka wanaimba kwa mbwembwe na mikogo nyimbo za kuisifia CCM?
sasa leo hii kwenye ukweli wanakuja JF kutaka msaada upi? mi nahisi wakienda CCM makao makuu kueleza yaliyowasibu itakuwa vizuri zaidi.
acha sie tushughulike na mafisadi bwana.
sasa leo hii kwenye ukweli wanakuja JF kutaka msaada upi? mi nahisi wakienda CCM makao makuu kueleza yaliyowasibu itakuwa vizuri zaidi.
acha sie tushughulike na mafisadi bwana.