UDSM: Tunaomba msaada wenu JF!

UDSM: Tunaomba msaada wenu JF!

Mwafrika wa kike mbona hutangulizi heshima yake hon prof Mukandala??

Amepoteza hiyo heshima kwa jinsi alivyoagiza FFU kupiga mabomu wanafunzi wasio na hatia yoyote na juhudi zake za kifisadi na kidikiteta za kuingilia uhuru wa wanafunzi wa kuchagua viongozi wa chama chao.

BTW - Hapa US tunawaita walimu wetu kwa majina yao na sio nafasi zao za kufundisha vyuoni.
 
Hawa madogo wafukuzwe tu haiwezekani kila siku chuo kimoja tu ndiyo kuna matatizo. Mnatakiwa kujua serikali haina shida ya wasomi sikuhizi kunawasomi wengi tu wametoka nje.

Hii imeanzishwa na sisiemu huko Butiama au?

Hivyo badala ya kudakia ushabiki wa groups za kitoto mnatakiwa kusoma. Kitu cha pili sisi wengi wetu hapa tumeshamaliza shule na hii website siyo ya vijana wa vyuo!. Je mnasoma sangapi kama kila saa mko kwenye website?.

Kama ulikosoma wanafunzi hawaruhusiwi kuingia kwenye mitandao basi hicho chuo inabidi kifutwe kabisaaaa

Elimu ni muhimu na inapanda grarama kila siku kama unapata chakula, malazi, walimu vumilia na maliza shule kwani hutapata hiyo nafasi tena kirahisi. Mimi ni msomi na nipo hapa Marekani na kushauri hivyo maana dunia inapoenda tena unaishi Tanzania utawezaje kuishi bila elimu sikuhizi?

Inabidi hii iwekwe kwenye sera ya uchaguzi ya ccm ya mwaka 2010
 
Amepoteza hiyo heshima kwa jinsi alivyoagiza FFU kupiga mabomu wanafunzi wasio na hatia yoyote na juhudi zake za kifisadi na kidikiteta za kuingilia uhuru wa wanafunzi wa kuchagua viongozi wa chama chao.

BTW - Hapa US tunawaita walimu wetu kwa majina yao na sio nafasi zao za kufundisha vyuoni.


Huyu Mkandala ni kubwa jinga ,Mdebwedo hafai hata kuongoza familia yake.

Amini nakuambia hapo UDSM wapo wengi mfano wa mkandala ndio maana chuo hakina haki kwa wanafunzi na wao hawachoki kiutafuta.

Ktk hili wanafunzi wa udsm walikua hawana sababu za kugoma,lakini kwa sababu ya ukandamizaji uliopo pale udsm imesha wa affect wanafunzi kiasi kwamba wapo kama wamendugwa sindano la stresi na ndio mara kwa mara wanajibu mapigo kwa ghadhabu.

Na hata hivyo Baba mwema mwenye busara mwanae akimuibia fedha zake ktk droo yake haina maana kwamba baba huyu atabeba shoka,mapanga na mundu kwenda kumkatakata mwanae wa kuzaa.Ukiona baba wa namna hiyo wewe jua hilo ni BWEGE
 
Lunyungu Mimi Nipo Udsm Pia Wewe Sema Upo Wapi Nikufuate No Yangu Ni 0713 620278

Karibu Duniani
 
Huyu Mkandala ni kubwa jinga ,Mdebwedo hafai hata kuongoza familia yake.

Amini nakuambia hapo UDSM wapo wengi mfano wa mkandala ndio maana chuo hakina haki kwa wanafunzi na wao hawachoki kiutafuta.

Mkama, mimi sijafikia bado kumwita mkandara kama kubwa jinga au mdebwedo.

Ktk hili wanafunzi wa udsm walikua hawana sababu za kugoma,lakini kwa sababu ya ukandamizaji uliopo pale udsm imesha wa affect wanafunzi kiasi kwamba wapo kama wamendugwa sindano la stresi na ndio mara kwa mara wanajibu mapigo kwa ghadhabu.

Na hata hivyo Baba mwema mwenye busara mwanae akimuibia fedha zake ktk droo yake haina maana kwamba baba huyu atabeba shoka,mapanga na mundu kwenda kumkatakata mwanae wa kuzaa.Ukiona baba wa namna hiyo wewe jua hilo ni BWEGE

Walikosea sana kujaribu kuingilia uchaguzi wa Daruso na kisha kuita polisi kuja kupiga wanafunzi bila makosa. Huu ni udikiteta na ufisadi wa hali ya juu kabisa.
 
Mkama, mimi sijafikia bado kumwita mkandara kama kubwa jinga au mdebwedo.



Walikosea sana kujaribu kuingilia uchaguzi wa Daruso na kisha kuita polisi kuja kupiga wanafunzi bila makosa. Huu ni udikiteta na ufisadi wa hali ya juu kabisa.

Huu ufisadi na udikteta unapofanywa na jamaa waliopita darasani si ndio udebwedo huo.

chuo kimewashinda waachie ngazi waje walioelimika wakiongoze.

Mwafrika wa kike tambua hizo ni jihudi za kifisadi zilizo anzia ktk siasa hadi kwenye elimu na wanafanya hivyo ili masikini wasielimike vyema na wao ndio wawe viongozi.

Usifikiri hawajui wafanyalo.
 
Huu ufisadi na udikteta unapofanywa na jamaa waliopita darasani si ndio udebwedo huo.

chuo kimewashinda waachie ngazi waje walioelimika wakiongoze.

Mwafrika wa kike tambua hizo ni jihudi za kifisadi zilizo anzia ktk siasa hadi kwenye elimu na wanafanya hivyo ili masikini wasielimike vyema na wao ndio wawe viongozi.

Usifikiri hawajui wafanyalo.

Nimesikia kuwa Mkandara sasa hivi anakanusha kuwa hakuna mwanafunzi aliyekufa ila kuna mmoja mimba imetoka (as if hii sio big deal). Yaani watu wengine wanastahili kuwa na moto wao special kule jehanum!
 
Naona Watu Wa Pande Moja Ndio Wanaoongea Na Wengi Wanaongelea Upande Mmoja Wa Shilingi Kwa Namna Hii Basi Mjadala Utakuwa Mugumu Na Itakuwa Ngumu Kusaidia Wajukuu Zetu Wa Udsm
 
Shy,
mbona unajishaua namna hiyo kaka?? nani kakuomba namba yako ya simu? tabia yako hii ipo siku itakufikisha pabaya, we endelea tu!! kimsingi nakusikitikia yaani, to me upo kama mtu aliye kwenye suicide mission, kama unanielewa........goodluck.

HUYO LUNYUNGU NI MUONGO HAKUWA UDSM WALA KARIBU NA ENEO HILO NA WALA HAKUFANYA MAHOJIANO YOYOTE NA MWANAFUNZI WOWOTE NDIO MAANA NILITAKA KUONANA NAE KWA MAPANA

NIMEMPA NAMBA YANGU SASA ANITAFUTE TUONANE KWA SABABU MIMI NIPO HAPA NA WAKATI MWINGI NIKO HAPA SASA BWANA LUNYUNGU MIMI NIMERUDI UDASA KAMA UNA MUDA PIGA NAMBA HIYO HIYO BADO NIKO NJOO TUONANE
 
HUYO LUNYUNGU NI MUONGO HAKUWA UDSM WALA KARIBU NA ENEO HILO NA WALA HAKUFANYA MAHOJIANO YOYOTE NA MWANAFUNZI WOWOTE NDIO MAANA NILITAKA KUONANA NAE KWA MAPANA

NIMEMPA NAMBA YANGU SASA ANITAFUTE TUONANE KWA SABABU MIMI NIPO HAPA NA WAKATI MWINGI NIKO HAPA SASA BWANA LUNYUNGU MIMI NIMERUDI UDASA KAMA UNA MUDA PIGA NAMBA HIYO HIYO BADO NIKO NJOO TUONANE

Nani aatakutafua snitch mkubwa wewe. wanafunzi wote sasa hivi wanapicha yako na ukitokea tu unakimbiwa kama ukoma!
 
scenero tuliopewa wakati tunaanza masomo ya mwaka wa kwanza.

kibaka mmoja alitamani kumwibia jirani yake mwafrika wa kike radio kubwa. saa mbili usiku akaamua kuchoma moto nyumba ya Mr. Shy ambaye ni jirani wa Mwafrila wa kike ili familia nzima ya mwafrika wa kike wakurupuke kwenda kuzima moto ili na yeye aweze kufanikisha azma ya kuingia kwa mwafrika wa kike.

baada ya shy kupiga kelele kweli familia mzima ya mwafrika wa kike wakakurupuka na kuacha nyumba wazi, na hivyo kibaka aliingia na kukwapua radio hiyo, na bahati mbaya au mzuri akakutana na memba mmoja wa nyumba ya mwafrika wa kike ambaye alipiga mayowe mwizi, mwizi mwizi! mpaka wakakusanyika. kwa sababu alijulikana sana kuwa na tabia hiyo, alipigwa mpaka akakiri kuwa ndiye aliyechoma nyumba ya jirani yake.

hasira zilimpanda Mwafrika wa kike na hivyo kuchukua panga na kumchop mkono wake na hivyo damu zikaanza kuchiririzika.

mwafrika wa kike alienda kuriport hilo tukio mahakamani kesho yake baada ya kuwa tayari ameishafariki.


tuliomba kutoa hukumu; wengi sana tulijikanyaga sana, ila kwa sababu hii scenerio ilikuwa ni hukumu ya kesi hapa tanzania jibu lilikuwa hivi!!

koti ilimkuta na hatia ya mauaji kwa sababu baada ya kumkamata na radio angeweza kumpeleka mahakamani, pili hata kama alimkata kwa hasira 'fragrento delicto' bado angeweza kumkimbiza hospitali wakati akiona damu zinachiririzika, na kitendo cha kwenda kuliport hicho kifo na tukio kesho yake bado kilionyesha kuwa alishadhamilia yule mtu afe.

principle of laws
1. the ignorance of the law is no defence. swala sikujua utaratibu wa chuo haukubaliki, labda sababu zenye upana zinahitajika.

2.mwanzirishi wa kupelekea kutendeka kwa kosa anaandamwa ili mradi tu kusiwepo na kizuizi chochote cha chain of action. swali hapa likolikely, je yule mama alikuwa anaandamana naye na hiyo afya yake? kama ndio then volent non fit injuria inaweza kutumika kuwa amesababisha, au kama alilazimishwa na hao waandamanaji basi kesi inarudi kwa huo waandamanaji, kama mkandala aliagiza kuwa ua mtu yeyote anyejitokeza basi mkandala ana kesi ya kujibu, ila kama polisi walikuwa wanajiami basi hamna hatia, self defence, na kama walifanya kimakosa basi mapolice watakuwa liable, mbona makosa yamekuwa yakifanyika iraq na u.s armies na hakuna kitu kinachoendelea?

ila sasa kuwepo kwa FFU chuoni na kwenyewe kuko kwenye reasonability ya namna hiyo

wote tulishuhudia vyombo vya habari vikituonyesha wanafunzi na ndevu zao wakipigwa kutoka madarasani ambapo watoto wao walikuwa wanawaangalia kupitia Runinga.......bado chuo kinaweza kusma kuwa FFU walikuja kurescue hao jamaa. pili tuliona maktaba zikiwa zimefungwa na utawala ukiwa umezingirwa, je ulitaka watoke vipi?

unajua tusiwe watu wa haraka kusema hoo, anayepinga huu mgomo ana chuki binafsi, wote tunareasons tofauti na hiyo lazima iwe. we should reason beyond ili mtu asije akajuta baadaye kwa taarifa anazozitoa.

I am always smart. i sy no to what is no. mimi nilishaongoza mgomo na inawezekana zaidi ya huu, ndio maana ushauri wangu ninaweza kusema huu mgomo utafanikiwa au la. any way reasoning ni tofauti.

ila hata akina lennin na Marx waliheshimiana ingawa walitofautiana hata paul na Petro baada ya kifo cha yesu walitofautiana kuhusu circumcision waliheshimiana, hata suni na shia hapa tanzania wanaheshimiana ingawa wanatofautiana kiimani.
 
scenero tuliopewa wakati tunaanza masomo ya mwaka wa kwanza.

kibaka mmoja alitamani kumwibia jirani yake mwafrika wa kike radio kubwa. saa mbili usiku akaamua kuchoma moto nyumba ya Mr. Shy ambaye ni jirani wa Mwafrila wa kike ili familia nzima ya mwafrika wa kike wakurupuke kwenda kuzima moto ili na yeye aweze kufanikisha azma ya kuingia kwa mwafrika wa kike.

baada ya shy kupiga kelele kweli familia mzima ya mwafrika wa kike wakakurupuka na kuacha nyumba wazi, na hivyo kibaka aliingia na kukwapua radio hiyo, na bahati mbaya au mzuri akakutana na memba mmoja wa nyumba ya mwafrika wa kike ambaye alipiga mayowe mwizi, mwizi mwizi! mpaka wakakusanyika. kwa sababu alijulikana sana kuwa na tabia hiyo, alipigwa mpaka akakiri kuwa ndiye aliyechoma nyumba ya jirani yake.

hasira zilimpanda Mwafrika wa kike na hivyo kuchukua panga na kumchop mkono wake na hivyo damu zikaanza kuchiririzika.

mwafrika wa kike alienda kuriport hilo tukio mahakamani kesho yake baada ya kuwa tayari ameishafariki.


tuliomba kutoa hukumu; wengi sana tulijikanyaga sana, ila kwa sababu hii scenerio ilikuwa ni hukumu ya kesi hapa tanzania jibu lilikuwa hivi!!

koti ilimkuta na hatia ya mauaji kwa sababu baada ya kumkamata na radio angeweza kumpeleka mahakamani, pili hata kama alimkata kwa hasira 'fragrento delicto' bado angeweza kumkimbiza hospitali wakati akiona damu zinachiririzika, na kitendo cha kwenda kuliport hicho kifo na tukio kesho yake bado kilionyesha kuwa alishadhamilia yule mtu afe.

principle of laws
1. the ignorance of the law is no defence. swala sikujua utaratibu wa chuo haukubaliki, labda sababu zenye upana zinahitajika.

2.mwanzirishi wa kupelekea kutendeka kwa kosa anaandamwa ili mradi tu kusiwepo na kizuizi chochote cha chain of action. swali hapa likolikely, je yule mama alikuwa anaandamana naye na hiyo afya yake? kama ndio then volent non fit injuria inaweza kutumika kuwa amesababisha, au kama alilazimishwa na hao waandamanaji basi kesi inarudi kwa huo waandamanaji, kama mkandala aliagiza kuwa ua mtu yeyote anyejitokeza basi mkandala ana kesi ya kujibu, ila kama polisi walikuwa wanajiami basi hamna hatia, self defence, na kama walifanya kimakosa basi mapolice watakuwa liable, mbona makosa yamekuwa yakifanyika iraq na u.s armies na hakuna kitu kinachoendelea?

ila sasa kuwepo kwa FFU chuoni na kwenyewe kuko kwenye reasonability ya namna hiyo

wote tulishuhudia vyombo vya habari vikituonyesha wanafunzi na ndevu zao wakipigwa kutoka madarasani ambapo watoto wao walikuwa wanawaangalia kupitia Runinga.......bado chuo kinaweza kusma kuwa FFU walikuja kurescue hao jamaa. pili tuliona maktaba zikiwa zimefungwa na utawala ukiwa umezingirwa, je ulitaka watoke vipi?

unajua tusiwe watu wa haraka kusema hoo, anayepinga huu mgomo ana chuki binafsi, wote tunareasons tofauti na hiyo lazima iwe. we should reason beyond ili mtu asije akajuta baadaye kwa taarifa anazozitoa.

I am always smart. i sy no to what is no. mimi nilishaongoza mgomo na inawezekana zaidi ya huu, ndio maana ushauri wangu ninaweza kusema huu mgomo utafanikiwa au la. any way reasoning ni tofauti.

ila hata akina lennin na Marx waliheshimiana ingawa walitofautiana hata paul na Petro baada ya kifo cha yesu walitofautiana kuhusu circumcision waliheshimiana, hata suni na shia hapa tanzania wanaheshimiana ingawa wanatofautiana kiimani.

Haya mkuu mtaalamu wa sheria nimekupata na wala hakuna kitu personal hapa zaidi ya kutetea haki za wanafunzi ambao serikali inaingilia uhuru wao wa kuchagua viongozi wao kabla ya kutuma polisi na kuwapiga bila sababu yoyote ile.
 
Wameshindwa kukuridhisha wewe na nani?

baadhi ya mama wa kiafrica wa kike huwa wanautamaduni wa kuwapendezesha watoto wao hata kama wamekosea. sijui hii tabia itaisha lini. na mara nyingi baba anahitajika kuwa mkali sana ili kuhakikisha matoto hawaharibiki. hona ili sakata linaloendelea, hata kama hamna sababu tunapiga vigeregere na kujenga hoja ambazo hata mtoto wa kiume wa darasa la tatu ataona mapungufu any way;

ninarudia hawakuturidhisha ndio maana Bin mariam kauliza mbona hamwapi msaada?

hawakuturidhisha sisi tulioko hapa JF. idadi kubwa ya kula ya maoni inaonyesha wanJF waepinga waziwazi mgomo( source ni idadi ya wachangiaji wanaopinga huu mgomo so far)

pili hawakuridhisha wanachuo wenzao ambao badala ya kutumia hoja kumtoa nyoka pangoni wanaappeal to violence and illegal ways of beatings

tatu hawakuwaridhisha wengi wa wakulima wa tanzania na watu wengine(source: wachangiaji wa BBC)

Nne hawakuridhisha DARUSO AMBAYO IMEKATAA KUBARIKI HUO MGOMO

NIKIORODHESHA nitakesha.

sasa nikuulize , haya majibu kukuyatarajia au ndivyo sisi wanawake wa kiafrika tulivyo?
 
baadhi ya mama wa kiafrica wa kike huwa wanautamaduni wa kuwapendezesha watoto wao hata kama wamekosea. sijui hii tabia itaisha lini. na mara nyingi baba anahitajika kuwa mkali sana ili kuhakikisha matoto hawaharibiki. hona ili sakata linaloendelea, hata kama hamna sababu tunapiga vigeregere na kujenga hoja ambazo hata mtoto wa kiume wa darasa la tatu ataona mapungufu any way;

ninarudia hawakuturidhisha ndio maana Bin mariam kauliza mbona hamwapi msaada?

hawakuturidhisha sisi tulioko hapa JF. idadi kubwa ya kula ya maoni inaonyesha wanJF waepinga waziwazi mgomo( source ni idadi ya wachangiaji wanaopinga huu mgomo so far)

pili hawakuridhisha wanachuo wenzao ambao badala ya kutumia hoja kumtoa nyoka pangoni wanaappeal to violence and illegal ways of beatings

tatu hawakuwaridhisha wengi wa wakulima wa tanzania na watu wengine(source: wachangiaji wa BBC)

Nne hawakuridhisha DARUSO AMBAYO IMEKATAA KUBARIKI HUO MGOMO

NIKIORODHESHA nitakesha.

sasa nikuulize , haya majibu kukuyatarajia au ndivyo sisi wanawake wa kiafrika tulivyo?

Kuna watu leo hii wanakusanyika kwenye mikutano ya kifisadi ya ccm na kuimba na kupiga vigelegele wakiwashangilia viongozi mafisadi hata pamoja na kufahamu kinachoendelea nchini.

Haya majibu niliyategemea kabisaaaa kulingana na hali ilivyo.

Next .......
 
BTW,

nimekumbushwa kuwa jina halisi na mkuu wa chuo (VC) ni Mukandala kwa hiyo kuanzia sasa nitamuita hivyo. Samahani kwa wale wote niliowakwaza kwa kubofya kwenye hilo jina.
 
Hawa watoto kuna wakati waliitwa diamond jubilee wakaenda na mafurana ya CCM kuongea na kikwete, sasa nafikiri ndo wakati wa kuitafuta CCM iwasaidie maana sasa wanaitaji msaada.

Walidanganywa wakajiingiza kwenye siasa bila kujua na sasa wamewatosa moja kwa moja, haiwezekani ukaamua kufukuza wanafunzi mia tatu, watakwenda kufanya nini mtaani, solution ya tatizo lao ilikuwa sio kuwafukuza waliitaji kuongea nao nafikiri ingekuwa busara zaidi.
 
Mwafrica tatizo lako na wanafunzi wenzako ni kuchanganya elimu na siasa. JF tunajadili mambo muhimu ya nchi yetu na kama tukiona utoto sehemu ni lazima tuseme, sisi hapa siyo watu ambao tunapinga tu bali tunarekebisha. Kinachonishangaza ni kuona wanafunzi badala ya kusoma ni kugoma kila siku kukicha miaka nenda rudi na imekuwa kama utamaduni wa USDM. Sasa kilichotokea ni wanafunzi wamefukuzwa na wengi wao hawatapata elimu ya kirahisi ya chuo. Uchumi wa sikuizi bila elimu maisha yatakuwa magumu sana hasa kama unaishi kwenye nchi masikini kama Tanzania. Hivyo kabla ya kugoma na kutokuingia darasana lete hoja hapa JF na tueleze matatizo. Ukisubiri mpaka ufukuze shule, pige polisi mawe na kuleta fujo ndiyo tukusaidie sahau. Sisi nguvu yetu ni hoja na kwasasa mimi nashauri mrudi darasani na mtoe issue moja moja kujadiliwa.
 
Hawa watoto kuna wakati waliitwa diamond jubilee wakaenda na mafurana ya CCM kuongea na kikwete, sasa nafikiri ndo wakati wa kuitafuta CCM iwasaidie maana sasa wanaitaji msaada.

Walidanganywa wakajiingiza kwenye siasa bila kujua na sasa wamewatosa moja kwa moja, haiwezekani ukaamua kufukuza wanafunzi mia tatu, watakwenda kufanya nini mtaani, solution ya tatizo lao ilikuwa sio kuwafukuza waliitaji kuongea nao nafikiri ingekuwa busara zaidi.

jamco, waliokwenda kwenye mkutano wa ccm ni sehemu tu ya wanafunzi na sidhani kama ni makosa kwa wanafunzi kuwa wanaccm kama ilivyo haki yao kuwa wana-CUF.
 
Mwafrica tatizo lako na wanafunzi wenzako ni kuchanganya elimu na siasa. JF tunajadili mambo muhimu ya nchi yetu na kama tukiona utoto sehemu ni lazima tuseme, sisi hapa siyo watu ambao tunapinga tu bali tunarekebisha. Kinachonishangaza ni kuona wanafunzi badala ya kusoma ni kugoma kila siku kukicha miaka nenda rudi na imekuwa kama utamaduni wa USDM.

Hii si kweli kuwa wanafunzi wanagoma kila siku, Na hili suala la kuita utoto mgomo wa wanafunzi ni kashfa isiyostahili hapa JF.

Sasa kilichotokea ni wanafunzi wamefukuzwa na wengi wao hawatapata elimu ya kirahisi ya chuo. Uchumi wa sikuizi bila elimu maisha yatakuwa magumu sana hasa kama unaishi kwenye nchi masikini kama Tanzania. Hivyo kabla ya kugoma na kutokuingia darasana lete hoja hapa JF na tueleze matatizo. Ukisubiri mpaka ufukuze shule, pige polisi mawe na kuleta fujo ndiyo tukusaidie sahau. Sisi nguvu yetu ni hoja na kwasasa mimi nashauri mrudi darasani na mtoe issue moja moja kujadiliwa.

Serikali ya ccm ni ya kibabe, nadhani umesoma ile thread ya jinsi wananchi wa Buzwagi walivyopigwa na FFU kutokana na mambo ambayo hata mimi sijui ni sababu gani polisi wanatumika hivi utadhani tuko wakati wa apartheid south Afrika?

Wanafunzi wana kila haki ya kutetea haki zao hasa pale uongozi wa chuo unavyoamua kuingilia haki yao ya kuchagua viongozi wao wanaowataka.
 
Unajaribu kuifanya hii ni issue ya siasa lakini huna point. Kwanini Sokoine na vyuo vingine hawagomi?? je hawanamatatizo??. Hii siyo siasa na hutapata watu hapa kwani watu hapa siyo mashabiki bali ni watu wenye uchungu na nchi. Mwafrica huna point na wanachuo wa USDM wana utoto bado na hawajui maisha.
 
Back
Top Bottom