[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa nachunguliaga tyuuh, mwaka huu enyewe, EPL arsenyani wanataka kutuporaaa,Kwaiyo ndio ukaamua kutukimbia jumla kwenye jukwaa la the cityzens.
Msimu huu tunabeba ndoo iyo.
Wee ndo umeongea ukweli, tena KDB jaman anavyotepeta UCL hadi najiulizaga ndo huyu huyu lol.Kwenye mpira wa ulaya hakuna kitu kinaitwa bahati mkuu.
Ni suala la uwezo, uzoefu na mbinu.
Jana umeona Trent alivyogeuka uchochoro wa bwana mdogo Vinicius?
Wachezaji wengi wa Madrid wana uzoefu na hizi game za mtoano na hawana mambo ya kitoto kuremba mpira kama PSG ama City.
Hata mwaka huu watafika mbali.
Tumvumilie mkuu, nadhani huyu ni Ke.Sa info hazina mashiko wakati umeambiwa hizo ni rules zinazoongoza mashindano kutoka kwenye tovuti rasmi ya uefa!
Mtu anapokwambia official UEFA website unaelewa?
Tupo live kutokea Nyon UswisiBado dakika 20 draw kuanza.
Bonge ya mechi hii, wasipokutana sasa huenda ikawa hatua zijazo wakipitaCity tunamtaka Madrid.
Man City vs Napoli1.chelsea vs Bayern Munich
2.Napoli vs benfica
3.inter Milan vs Ac Milan
4.Man city vs Real Madrid
Real Madrid [emoji736]Real Madrid vs. Chelsea
Benfica vs. Inter
Man City vs. Bayern
AC Milan vs. Napoli
The Champions League quarterfinal draw [emoji36] #UCLdraw