UEFA champions league : Coincidence au ni kweli dunia inaendeshwa na binadamu..

Hii mechi LIVERPOOL ANASHINDA KABISA BILA MATATIZO... ILISHAPANGWA IMEPANGIKA... BADO UTEKELEZAJI TU...
 
Usifanye watu wakauza nyumba walale nje wakaweke betting
[emoji23] [emoji23] [emoji23] lakini ndio ukweli huo... Ila kwenye betting mtu asiweke direct win... Maana wanaweza wakatoka draw kwa 90 na LIVERPOOL akashinda kwa extra time ama penalties... Ila mimi naamini LIVERPOOL anashinda ndani ya Dk 90
 

Mimi natofautiana na wewe kidogo, matukio ni kitu cha kawaida Duniani na ndiyo ambayo yanatengeneza historia. Hata wewe kwa ulichokiandika hapa ukifuatilia matukio mbali mbali yaliyotokea Duniani kwa leo na ukayakusanya, basi na wewe utatengeneza historia.

Ila nilichogundua wewe ni Madrid. Usitoe visingizio viiiingi. Mtapigwa kipigo cha mbwa koko. Ndoo ni ya Liverpool.

Salaaaaaah...waya
 
Ni vyepesi kufuata upepo kuliko kuukumbata tusubiri tuone 6days to go sio nyingi tutarudia huu uzi
 
Mimi ni mmoja kati ya watu ambao hawaamini Liverpool kuwa mabingwa wa UCL msimu huu
 
Mkuu sijasema Liverpool atakuwa bingwa(hakuna sehemu niliyoandika hivyo)..

Na vipi kuhusu Roma kujua ratiba kabla droo haijachezwa ,nalo ni suala la mwaka 47 ?
KUNA watu ni vigumu kuelewa huu uchambuzi.kuna watu wanafikir kila wanachokiona ndivyo kilivyo. Na ndio maana giza likiingia lazima umulike ili uone. Kuna mamb ya gizan na ya nuruni. KTK DUNIA YA LEO KM WW HUSOMI HUFWATILII. KILA KITU UTAKICHUKULIA KWA AKILI NYEPESI.
 
Mkuu mm sina neno nasubiri tar 26/05/2108
 
Mkuu "deep web" ndo wapi n mim nijaribu kuingia?
 
Mkuu mm sina neno nasubiri tar 26/05/2108
NA YA MWISHO NI HII
UKIACHA KIWA 1981 UKIIGEUZA INAKIWA 18...AKA 2018
BASI JUA KIWA 1981 HUKO GERMANY EITRANCH FRANKFURT WALIKUWA MABINGWA WA DFP CUP (KOMBE LA UJERUMANI)
.
.2018 HUKO UJERUMANI EINTRANCH FRANKFURT NDIO MABINGWA WA DFP (KOMBE LA UJERUMANI)[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
 
Noma sana
 
Mkuu, weka nyumba kabisa,; liverpool anabeba ndoo mapema sana m, tena kwa goli 1-0.
Duh! Mkuu hebu tuweke ushabiki pembeni, huwezi sema liver anachukua ndoo kwa kumfunga madrid 1-0 mapema, utakua huijui madrid vizuri wewe[emoji848].
 
Liver anashinda 1-0. Goli litafungwa dakika ya 18 na ANDY ROBERTSON AU JAMES MILNER.
.
.Save this POST
 
Hapo ndo freemason wanachezaga na hesabu na namba na kila kitu kinaenda sawa.Lazima ujue kuwa Queen Elizabeth ni 'matron of frremason' na mjukuu wake ambae ndo mrithi wa kiti cha ufalme ameoa juzi.Hivyo piga ua lazima liverpool ashinde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…