UEFA champions league : Coincidence au ni kweli dunia inaendeshwa na binadamu..

Kufuatilia haya mambo ni kazi kubwa
Unaweza kuogopa kila mzungu unaemuona
 
Ngoja tusubiri hiyo 26. Ninacho amini mambo huwa hayatokei kwa bahati mbaya tu.
 
Hapa Kuna Kitu.. Ila Ukiweka ushabiki pembeni kuna Asilimia fulani Matokeo hupangwa kabisa kwa maslahi ya kibiashara maana Sasa Hivi watu hawachezi kujifurahisha tu ila wanaangalia Pesa ipo wapi...

So if Liverpool wakishinda then Utabiri wako utakuwa sawa ila wakichukia real madrid itakuwa false
 
Liverpool akishinda papa ajiandae....
Usisahau kuna papa wawili walio hai. Mmoja anaitwa Emeritus pope (Benedict xvi) aliyejiuzuru mwaka 2013. Na pope Fransis aliye madarakani sasa. Hivyo kama historia juu ya papa itajirudia baada ya Liverpool kuchukua ubingwa, nadhani papa atakayefuata mlolongo wa historia atakuwa Benedict xvi.
 
Ngoja tusubiri
 

Attachments

  • FB_IMG_1527023691727.jpg
    85.2 KB · Views: 46
Dah! Kwa utabiri wangu wacha nkaweke bet ya 1M kwa Liverpool
 
kivovote itakavokua. Fainal ya 2005 ya Liverpool na Ac Milan uhakika ilikua ya kimazingara. Liverpool hawakuwa nauwezo kabisa ya kuwafunga Milan si kwa kikosi na hata uwanjani. Mechi ilikua upande mmoja dakika zote 120 ukiotoa dakika sita.

Lazima palaikua na mchezo mchafu pale.
 
Hii Match itaisha kwa suluhu ya bila kufungana ila Real atashinda kwenye mikwaju ya penalti.

Nimeota hiki kitu mara mbili.
 
Liver akishinda tutaamini alipangwa cha muhimu washinde tu Madrid iwe salama yao na vielelezo vyote hivyo kuna watu watafungwa
 
us against the world.
kwa shabiki wa Man u kumpa kombe Liverpool ni sawa na kumkabidhi mkeo mwanaume mwenzio ampe vyombo mbele yako.
heri Madrid alichukue hata Mara mia kuliko Liverpool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…