UEFA Champions League Draw

Mahaba kwako Nifah
Wambea wako bize kuliko wenye shughuli. Wengi waliojaa humu ni wale wanaoshiriki ile ligi ya alhamisi, siku ambayo mimi huwa niko bize na FUTUHI
 
Mkuu hapa tutamshukuru mungu kwa kutupa tunachotaka. TUTAONYESHA UCHAW WETU MPAKA SHETAN ATASHANGAA
 
sipati picha chelsea hii, ingekuwapo hapo kwenye drooo..

hakika tusingekuwa na hofu na kigogo yeyote
 
naona timu za La liga zitaneemeka na sheria ya timu za kwanza na nchi moja kutokutana.
 
man city vs monaco
real vs napoli

arsenal kapona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…