UEFA Champions League Draw

Maajabu ya upendo wako, utakuta unatushauri tuweke nguvu EPL ilhali timu yako ndio ile jana iliyojiimarisha kwenye nafasi ya 6
haha ni ushauri tu, uzuri ni kwamba hata hiyo epl hamtochukua, bayern sio watu wa mchezo
 
Na huyo Bayern anajua nini huwa tunamfanya pale GERMANY
 
Nani mwenye bahati nzuri.
2010/11 - R16 [emoji777]
2011/12 - R16 [emoji777]
2012/13 - R16 [emoji777]
2013/14 - R16 [emoji777]
2014/15 - R16 [emoji777]
2015/16 - R16 [emoji777]
2016/17 - Bayern Munich

Hiyo ni bahati njema ee!!?
 
Haki imetendeka tuliyemtaka maishani mungu katupatia. TUTAMCHAPA HUYU BAYERN COZ HATA LIGI YA NYUMBAN JAPOKUWA MBOVU KUWEPO KILELEN ANAPATA SHIDA. mlete tumuweke
 
Safari ni safari..............Arsenal kama kawaida mwisho wenu last 16! Nifah dawa niliokwambia inachemka ndio hio.
Naona umeshanunua ushabiki wa Bayern tayari...
Tusubiri wakati ufike,hutoamini macho yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…