Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kimbinu ni wazuri ila kwa arsenal wangekaa tu, bayern inapitia kipindi kigumu hasa nje ya UEFA ila bado wana nafasi ya kufanya vizuri kwangu mimi naona kungekuwa na unafuu kwa atletico madrid.Huwa wanacheza rafu sana kukuondoa kwenye mchezo wako, kisha wanatafuta goli moja wanapaki bus kumaliza mchezo.
Man city anacheza final ipiFINAL : MAN CITY VS ATLETICO
Arsenal ata ungepewa kina Sebastian Haller bado safari yako ilikua imeivaa huna wakumtoa hata mmoja pale wew pale Ndio kibonde wa mwishoKimbinu ni wazuri ila kwa arsenal wangekaa tu, bayern inapitia kipindi kigumu hasa nje ya UEFA ila bado wana nafasi ya kufanya vizuri kwangu mimi naona kungekuwa na unafuu kwa atletico madrid.
Uefa champions back to backMan city anacheza final ipi
umepewa Munich ambaye alikua anakukaza Goli Tano TanoArsenal tunamtaka Real Madrid
iyo UEFA labda kama kuna Chelsea na Everton Ndio mtabeba back tu backUefa champions back to back
Pole sana man utd ya fagasoni, huyo dortmund unaemzungumzia hana maajabu yeyote. Timu nazozihofia sana ni man city, bayern na madrid. Hao wengine ni tia maji tia maji tu hatuchekani.Arsenal ata ungepewa kina Sebastian Haller bado safari yako ilikua imeivaa huna wakumtoa hata mmoja pale wew pale Ndio kibonde wa mwisho
walishindwa kubeba UEFA kina Henry wapo kwenye ubora leo kina Ben white Ndio wabebe Ndoo labda kama mtacheza na BrentefordArteta anabeba ubingwa Epl na Uefa###Nimedata###
mimi sio city ila ndo balaa hilo kama lilivyo, madrid anapigwa hatoaminiiyo UEFA labda kama kuna Chelsea na Everton Ndio mtabeba back tu back
ukchukua rekodi za misimu kumi ya UEFA champions leauge kwa timu Nane Bora Arsenal Ndio vibondePole sana man utd ya fagasoni, huyo dortmund unaemzungumzia hana maajabu yeyote. Timu nazozihofia sana ni man city, bayern na madrid. Hao wengine ni tia maji tia maji tu hatuchekani.
Atapigwa afe.ushapewa Bayern munich huko wew endelea kumtamani Real madrid
Hizo takwimu zako ni za kiwaki, arsenal ana misimu mingapi ajashiriki UEFA?ukchukua rekodi za misimu kumi ya UEFA champions leauge kwa timu Nane Bora Arsenal Ndio vibonde
Man U mmepewa nani? Ooh sorrumepewa Munich ambaye alikua anakukaza Goli Tano Tano
ila we jamaa una wivu sana na tukikutana tutawakanda.walishindwa kubeba UEFA kina Henry wapo kwenye ubora leo kina Ben white Ndio wabebe Ndoo labda kama mtacheza na Brenteford
Akijibu nitagMan U mmepewa nani? Ooh sorr