UEFA CHAMPIONS LEAGUE: Real Madrid yaingia fainali Uefa, Man City yapigika 3-1

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: Real Madrid yaingia fainali Uefa, Man City yapigika 3-1

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
FR8bJydWQAQzRtU.jpg

FR8QOHAXsAEVhg-.jpg
Real Madrid imefanya maajabu, ni baada ya kupindua matokeo dakika za mwisho na kufanikiwa kuingia fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuiondoa Manchester City kwa jumla ya mabao 6-5.

Hadi dakika ya 90 Madrid ilikuwa nyuma kwa bao 1-0 katika nusu fainali ya pili, dakika ya 90 na 91 ilipata mabao mawili kupitia kwa Rodrygo na kufanya matokeo ya jumla kuwa 5-5. Katika dakika 30 za nyongeza, Kareem Benzema akafunga bao na kufanya matokeo kuwa 3-1.

Fainali inatarajiwa kuchezwa Mei 28, 2022. Real Madrid ambayo imebeba kombe hilo mara 13 itaivaa Liverpool ambayo imebeba kombe mara 6.
 
Uefa inahitaji kujitoa sana kwani hakuna game nyingi na za kurekebisha makosa Kama ilivyo ligi,kukosa uvumilivu na umakini ndiyo sababu ya timu nyingi kutolewa hatua muhimu Kama ilivyo man city leo,always hatutaki kujua sana unacheza nini!,tunachohitaji ni matokeo tu na focus yenye malengo...
 
View attachment 2211897
View attachment 2211895
Real Madrid imefanya maajabu, ni baada ya kupindua matokeo dakika za mwisho na kufanikiwa kuingia fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuiondoa Manchester City kwa jumla ya mabao 6-5.

Hadi dakika ya 90 Madrid ilikuwa nyuma kwa bao 1-0 katika nusu fainali ya pili, dakika ya 90 na 91 ilipata mabao mawili kupitia kwa Rodrygo na kufanya matokeo ya jumla kuwa 5-5. Katika dakika 30 za nyongeza, Kareem Benzema akafunga bao na kufanya matokeo kuwa 3-1.

Fainali inatarajiwa kuchezwa Mei 28, 2022. Real Madrid ambayo imebeba kombe hilo mara 13 itaivaa Liverpool ambayo imebeba kombe mara 6.
Pep alijua ameshamaliza game ilipofika dakika za mwisho akawatoa wachezaji wake muhimu
Kelvin De Bruyne , Riyadh Mahrez,
Weeeh kilichofuata hajaamini,
Nimependa fighting spirity ya Real, hasa ikiwa na vijana weengi, na kinachofurahisha zaid
Blacks wame dominate team
 
Mzuka wanajamvi,

Nilitoka kazini nimechoka kichiz ila mechi ya real na city nilipanga kuangalia. Mahrez alipofunga nikajua wazi citywanaendqa fainali. Nikaamua kulala. Sasa mda siyo mrefu nimeamka nikaamua kuangalia iliishaje. Sijawahi kushikwana mshtuko kama huu wanajamvi wenzangu. Kweli mpira dah Madrid maamae Jiiizaz

Erythrocyte makaveli10 Chaliifrancisco
 
Tatizo la Guardiola kila siku hajifunzi haeshimu wapinzani yeye kila mechi anafunguka tu ndo maana watu wanampasua tu kirahisi anajua ana Barcelona ya kina iniesta na xavi.
Mkuu yani no very heart breaking. Mahrez alivofunga tu nikaenda kulala nikajua mchezo kwisha. Mimi siyo shabik wa city ila imeniuma sana. Natamani sana City na PSG wabebe UCL kwa mara ya kwanza. City ingependeza wacheze na liver fainali wabebe kombe na msimu ujao PSg.

Yani ni mshtuko wa kipekee umenipata
 
Mzuka wanajamvi,

Nilitoka kazini nimechoka kichiz ila mechi ya real na city nilipanga kuangalia. Mahrez alipofunga nikajua wazi citywanaendqa fainali. Nikaamua kulala. Sasa mda siyo mrefu nimeamka nikaamua kuangalia iliishaje. Sijawahi kushikwana mshtuko kama huu wanajamvi wenzangu. Kweli mpira dah Madrid maamae Jiiizaz

Erythrocyte makaveli10 Chaliifrancisco
bora hata wewe ulienda kulala baada ya Mahrez kufunga, mimi nilizima Tv kwa hasira dakika ya 89 ila nimeamka leo siamini macho yangu.
 
Laana ya Yahya Toure itaendelea kumtafuna Pep hadi atakapoomba msamaha kwa waafrica weusi kwa ubaguzi zidi yao,hatachukua Uefa tena.
Nakazia hata Samuel Eto'o pia, kuna kipindi kabla ya Messi kuanza kung'aa pale Camp Nou, ikiwa Pep alitoka kuichukua Barcelona chini ya Kocha Rijkaard, alimbagua sana Eto'o kwa kumuweka benchi mara kwa mara asiendelee kucheza mpira maana kuna rekodi nzuri sana ya mchezaji bora wa Barcelona ilikuwa inaenda kuvunjwa na Samuel Eto'o.
 
View attachment 2211897
View attachment 2211895
Real Madrid imefanya maajabu, ni baada ya kupindua matokeo dakika za mwisho na kufanikiwa kuingia fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuiondoa Manchester City kwa jumla ya mabao 6-5.

Hadi dakika ya 90 Madrid ilikuwa nyuma kwa bao 1-0 katika nusu fainali ya pili, dakika ya 90 na 91 ilipata mabao mawili kupitia kwa Rodrygo na kufanya matokeo ya jumla kuwa 5-5. Katika dakika 30 za nyongeza, Kareem Benzema akafunga bao na kufanya matokeo kuwa 3-1.

Fainali inatarajiwa kuchezwa Mei 28, 2022. Real Madrid ambayo imebeba kombe hilo mara 13 itaivaa Liverpool ambayo imebeba kombe mara 6.
Aggregate ikiwa 3-5 nikawaambia wadau,"kwa Anceloti hii mechi bado mbichi" watu wakaniona "zuzu" kidogo tu 4-5,washabiki wa City wakaduwaa,hatujakaa sawa 5-5,mara penati 6-5.

Watu wengi waliusahau mziki wa Anceloti hasa kuelekea dakika za mwisho,angalia PSG kilichowakuta,rudi nyuma angalia fainali ya Real Vs Atletico mwaka 2014 (4-1) ambapo magoli ma3 yalipatikana ndani ya dakika 30 za Extra time. Kwa kifupi tangu Anceloti apindue matokeo kwenye ile finali dhidi ya Atletico(mwaka 2014) siku ile ndio nilipata picha kwa nini huyu Babu alitusumbua sana na Ac Milan yake miaka ile. Hajaletwa Real kwa bahati mbaya. Watu wapo serious na kazi zao!.

Kama Pep ataendelea kucheza mpira ambao mbinu zake ni zile zile hadi watu wanamkariri aisee kwenye UCL atakuwa anapata tabu sana. Mpira wa kisasa unataka kocha usiwe unatabirika kirahisi rahisi.
 
Back
Top Bottom