UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Belgium wanatakiwa kushinda hii mechi kwa namna yoyote
 
Moja ya group gumu sana
 
Alafu moja ya interesting things ya haya mashindano...timu zote wakiwa wanajilinda kwenye kona hawaweki mtu kwenye goalline...interesting to see zonal marking inatawala....wenzetu wanatoka from man to man marking
 
Alafu moja ya interesting things ya haya mashindano...timu zote wakiwa wanajilinda kwenye kona hawaweki mtu kwenye goalline...interesting to see zonal marking inatawala....wenzetu wanatoka from man to man marking
Mr Mazabzab unaonekan upo vizuri kwenye ukocha...ni wakati sahihi sasa tukupe Kichwa cha mwendawazimu uivushe(Tanzania) 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…