Ukiweka magoli 2.5 kwenda hutoboi.. Group stage nishaliwa 40k nikasema wacha nisubiri ligi tuHizi mechi sio za kuweka magoli wala straight win, hizi ww dili na yellow cards, offsides, goal kicks na pia labda throw ins
Spain nimeikubali, carvajal akaamua ale second yellow atetee ushindiFABIAN RUIZ ameni prove wrong! JAMAA ANAUPIGA MWINGI SANA kwenye euro 2024
Betting sio ngumu kama una target, Ila ngumu kama hauna target.Kona timu za kiafrica unapata homa kabosa
Kila kitu kipo mezani ajafahamika refa tuOoh asante Dr Restart muingereza wa Mbande na Lax nimeona izo XI
Kikosi kile kile, Southgate hakomi..
Mi nilisha achaBetting sio ngumu kama una target, Ila ngumu kama hauna target.
Magoli ni market ngumu sana kwenye betting sijui kwa nn watu huitumia. Mfano Jana timu kubwa kama Portugal na France zimetoka 0-0, hapo unategemea nnUkiweka magoli 2.5 kwenda hutoboi.. Group stage nishaliwa 40k nikasema wacha nisubiri ligi tu
Kila kitu kipo mezani ajafahamika refa tu
Mnataka nini wakuu?Sifa iendane na uwezo, England miaka na miaka ni underachievers lakini hype wanayopewa ni kubwa mno
Hii naiweka kwenye to-do list. Zile mechi za mwanzo Germany anapiga mtu 5 tukajua 3.5 itakua unalipa.. KhaMagoli ni market ngumu sana kwenye betting sijui kwa nn watu huitumia. Mfano Jana timu kubwa kama Portugal na France zimetoka 0-0, hapo unategemea nn
Option nzuri kwa timu kubwa huwa ni shots on target, goal kicks, yellow cards na kidogo offsides
Mzee kajipachika pamba.Kikosi kile kile, Southgate hakomi..
Usilie usilie kijana wa Malkia.Mnataka nini wakuu?
England on the recent years,have been so good. Euro iliyopita alifika fainali. Akapigwa kwa matuta.
Kombe la Dunia aliishia robo.
Mnataka nini? Form za mechi za kirafiki za FIFA na UEFA Euro qualitiers zimekuwa kali sana..
Okay sawa. Uwaanjani tufungwe na makelele tusipige? Haipo hiyo.
Betting kuacha sio rahisi, mbali na watu kuhisi kupiga pesa huwa pia ni kama hamasa na starehe flanj hiv ukiwa unaangalia mechiMi nilisha acha
Dr Restart unaitwa.England hatoboi
Watayatapika maneno yao. NgojaDr Restart unaitwa.
Magoli jau sana, huwa zinawaangusha Sana watu. Kuna jamaa yangu alikuwa anapenda sana kuweka magoli, game ya Spain vs Albania akasema lazima Spain apate goli 2 sababu Albania ni underdogs, akaweka mil 5Hii naiweka kwenye to-do list. Zile mechi za mwanzo Germany anapiga mtu 5 tukajua 3.5 itakua unalipa.. Kha