UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

So far, waogopeni wale watoto wa Kihispania, wamewafunga wakongwe wa Ujerumani kwenye open play bila penalties.
Ukimuondoa Morata anayewaharibia game wale wengine pale mbele ni madogo lakini wanauwasha vizuri. Hakuna timu ya kuwafunga wale
 
uswisi wanafika vyema kabisa langoni mwa england ila sijui kwanini hawawafungi ili england watolewe mashindanoni
 
nikumuangaliaga foden pale mancity anavokiwasha, nakubaliana na usemi kuwa unaweza kuwa na wachezaji ila ukawa huna timu.
Yaani hamna kitu
So far, waogopeni wale watoto wa Kihispania, wamewafunga wakongwe wa Ujerumani kwenye open play bila penalties.
Ukimuondoa Morata anayewaharibia game wale wengine pale mbele ni madogo lakini wanauwasha vizuri. Hakuna timu ya kuwafunga wale
Hispania wakikutanaga na France wanalowa mbona? Hao watoto wataishia kujiangusha angusha...na vile Carvajal hatakuwepo watapigwa tu

FINAL ni France na Netherlands
 
So far, waogopeni wale watoto wa Kihispania, wamewafunga wakongwe wa Ujerumani kwenye open play bila penalties.
Ukimuondoa Morata anayewaharibia game wale wengine pale mbele ni madogo lakini wanauwasha vizuri. Hakuna timu ya kuwafunga wale
Ujerumani kwa spain amekuwa mnyonge kwa miaka karibu kumi sasa
Nawatabiria Spain watakiwasha sana next world cup
 
Ujerumani kwa spain amekuwa mnyonge kwa miaka karibu kumi sasa
Nawatabiria Spain watakiwasha sana next world cup

Unaona, mimi nilikuwa nataka kusema hivyo. Wale watoto sasa hivi bado random, lakini baada ya haya mashindano wote watapanda bei na next 2 years watakuwa watamu kuliko sasa
 
Unaona, mimi nilikuwa nataka kusema hivyo. Wale watoto sasa hivi bado random, lakini baada ya haya mashindano wote watapanda bei na next 2 years watakuwa watamu kuliko sasa
Watakuwa wamezeeka wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…