UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Ila we jamaa umewaza Ujinga mwingi haki ya nani πŸ€— πŸ˜…πŸ˜…πŸ™Œ
Sio ujinga ndio akili maana wenzetu walikuwa wanaenda nje wanatia watu mimba watoto wao ndio kama hivyo tunasikia obama, mara seliba, pogba, bosingwa mnakonde wa mozambique. Sie mbona hatusikii hao wanaosema kuwa huyu baba mtz.
Inamaanisha baba zetu waliridhika na misambwa ya mama zetu ata walivyopelekwa kusome nje huko walikuwa hawagegedi warembo wakizungu
 
Hivi wakati baba na babu wawenzetu wanatinga nje huko hawa wetu walikuwa wanafanya nini? Au na wenyewe walikuwa vijana wa hovyo tuu kazi kutusimanga sie
Wahenga wetu walikua Na ujinga mwingi wa kutunga Misemo, kwao hiyo ndio wakaona ujanja.

Mwisho wa Siku wameacha kizazi cha hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…