Sio ujinga ndio akili maana wenzetu walikuwa wanaenda nje wanatia watu mimba watoto wao ndio kama hivyo tunasikia obama, mara seliba, pogba, bosingwa mnakonde wa mozambique. Sie mbona hatusikii hao wanaosema kuwa huyu baba mtz.Ila we jamaa umewaza Ujinga mwingi haki ya nani π€ π π π
macron analiwa mapema finali ni spain na holanzihii game ya leo iishe 90' nguvu ya kuamka copa america ipatikane
Wahenga wetu walikua Na ujinga mwingi wa kutunga Misemo, kwao hiyo ndio wakaona ujanja.Hivi wakati baba na babu wawenzetu wanatinga nje huko hawa wetu walikuwa wanafanya nini? Au na wenyewe walikuwa vijana wa hovyo tuu kazi kutusimanga sie
Kabisa hawa wazazi wetu walikuwa kizazi cha hovyo kabisa...wanatusingizia sie tuu hapa bureWahenga wetu wLikuaU Na ujinga mwingi wa kutunga Misemo, kwao hiyo ndio wakaona ujanja.
Mwisho wa Siku wameacha kizazi cha hovyo.
Walikua bure kabisa wale.Kabisa hawa wazazi wetu walikuwa kizazi cha hovyo kabisa...wanatusingizia sie tuu hapa bure
Spain wako vizuri ,ila France Wana bahati Kwa hiyo Leo France anashinda mapema tu.Jamani nasema tena fainal itakua spain v england!
spain vs new hollandJamani nasema tena fainal itakua spain v england!
bahati?Spain wako vizuri ,ila France Wana bahati Kwa hiyo Leo France anashinda mapema tu.
Kama Ile Nigeria na ivory cost,watu walikua Nigeria anabeba ndoo
france wanakula 2:0 EspaΓ±a nimekaa paleUfaransa tujuane mapema
Nipo hapa mfaransa wa Mbeya MR.Bojour Mwakayuro.Ufaransa tujuane mapema