UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Sio ujinga ndio akili maana wenzetu walikuwa wanaenda nje wanatia watu mimba watoto wao ndio kama hivyo tunasikia obama, mara seliba, pogba, bosingwa mnakonde wa mozambique. Sie mbona hatusikii hao wanaosema kuwa huyu baba mtz.
Inamaanisha baba zetu waliridhika na misambwa ya mama zetu ata walivyopelekwa kusome nje huko walikuwa hawagegedi warembo wakizungu
Walikuwa wanaogopa laana kutoka kwa wazazi wao 😆
 
Walikuwa wanaogopa laana kutoka kwa wazazi wao 😆
Itakuwa hilo...hizi imani za kijinga zimetuharibu kweli kweli.
Mjinga mwengine balozi wa kwanza england eti baadala ya kuzalisha wazungu yeye anawaza kumpindua nyerere🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom