raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Walikuwa wanaogopa laana kutoka kwa wazazi wao 😆Sio ujinga ndio akili maana wenzetu walikuwa wanaenda nje wanatia watu mimba watoto wao ndio kama hivyo tunasikia obama, mara seliba, pogba, bosingwa mnakonde wa mozambique. Sie mbona hatusikii hao wanaosema kuwa huyu baba mtz.
Inamaanisha baba zetu waliridhika na misambwa ya mama zetu ata walivyopelekwa kusome nje huko walikuwa hawagegedi warembo wakizungu
Tuko pamoja.Ufaransa tujuane mapema
Itakuwa hilo...hizi imani za kijinga zimetuharibu kweli kweli.Walikuwa wanaogopa laana kutoka kwa wazazi wao 😆
😅😅😅Leo nna kibarua cha kumuelezea mtu mpira so sitakuepo jukwaani.
Ufaransa tunatawala ballLeo nna kibarua cha kumuelezea mtu mpira so sitakuepo jukwaani.
Kuna maswali hapa najibu. Especially nilivojichanganya kusema Mbappe anachezea Madrid.
Wamenilostisha kinyamaaHawa azam mafala sana
🤣🤣🤣Kuna maswali hapa najibu. Especially nilivojichanganya kusema Mbappe anachezea Madrid.