final ni spain na new hollandSpain wanastahili kushinda hii game. Nitaumia sana wakishindwa kuqualify kwenda fainal.
Bonge la game...
Navasi anahitaji msaada kila Mbappe anaposhika mpira, vinginevyo zitaingia goli mbili za fasta fasta bila kutegemea.Ndio namueleza hapo mdau mmoja, kwa Spain Leo navas ndio anawarudisha nyuma
Mgunda kama saidia fundiWenzetu bwana wanawapa nafasi wazawa wajenge cv...kocha tokka u17 all the way to senior team.
Huku mgunda anatumiwa kama kiraka....wabingo tuna roho mbaya sie
KabisaSpain wanastahili kushinda hii game. Nitaumia sana wakishindwa kuqualify kwenda fainal.
Bonge la game...
[emoji1][emoji1][emoji1]Hivi raraa reree ni roboti jamani? [emoji1][emoji1] nikicomment ana like fasta
Anashinda hiiFrance overrated
kibabu kileNavas uchochoro.
Fabian Ruiz=Guti= Fernando Redondo
final ni spain na new holland
Navas ameingia kwasbb Carvajal hayupo...hii game Carvajal angekuwepo...game lingekuwa gumu sana kwa FranceNavas uchochoro.
Fabian Ruiz=Guti= Fernando Redondo