Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
-
- #5,881
Na bado. Mpaka mseme.Aisee mpira ni mchezo wa ajabu sana
Leo kiungo ya Uholanzi imepoteana kabisa na kumtoa Memphis ndio kabisa confidence ikawa 0...wanakimbia kimbia tu
Hatahivyo, Big Up kwa kocha na wachezaji wa kiingereza, wametulia na kucheza mpira wa kasi leo
Sas huyo makaroti alikuwa anafanyaje? Alidhani goli ni harufu akaziba pua?Back to back finalsView attachment 3038900
Asante b... lakini sijapoa, Jumapili niko Spain.Pole sana b... mechi imeamua kwa haki.
Ova
Safi, madusko kama kawaKazi na dawa kama kawa kama dawa it looks like England are lucky let us wait and see. Kanjibhai hataki hata kunipa maokoto yangu sijui alikuwa Holland π€π€View attachment 3038903
Leo wamechangamka...waki heza hivi dhidi ya spain tutapata ginal nzuriAisee mpira ni mchezo wa ajabu sana
Leo kiungo ya Uholanzi imepoteana kabisa na kumtoa Memphis ndio kabisa confidence ikawa 0...wanakimbia kimbia tu
Hatahivyo, Big Up kwa kocha na wachezaji wa kiingereza, wametulia na kucheza mpira wa kasi leo
Wewe kakumbuke kumeza dozi. Ndiyo muda wake.Leo wamechangamka...waki heza hivi dhidi ya spain tutapata ginal nzuri
Hiyo mechi ni ngumu sana. Kama ukitazama timu za fainali unaziona kabisa kuwa timu zilizochagu kubadili kizazi ndizo zimefaulu.Asante b... lakini sijapoa, Jumapili niko Spain.
Sio kila siku jumatanoHarry kane ana gundu England hawabebi kombe.
Ulikuwapo?Nashabikia england ila dah gundu la harry kaΓ±eπ
Sijui kwanini aliwaamini hawa Holland, wakati wao ndiyo huwa mwisho wao hapo.
It's going to SpainComment yangu hii ilikuwa May 17 nikapikwa sana View attachment 3038905
Huu ni muda wa match yetu, sogea uwanjaniView attachment 3038906
Game Changer. The Scorer. The Butcher. Man of the Match. The carrot crasher.
Watkins
labda Spain ya KizimkaziIt's going to Spain