Spain wanajua na wamepita njia ngumu kuanzia makundi hadi mtoanoInapendeza kuona timu bora ikikabidhiwa kombe.
Atakuwa amezingua sanaWilliams π₯π₯π₯player of the match waache uhuni,dogoo hafaii kuendelea kuchezaa Athletic club,Aje Arsenal π€£
Basi kama ni hivyo hata Watanzania tunapozwa na ushoga.kilichowaponza waingereza ni laana ya ushoga, hili kombe lingekuwa la kwao.
Tanzania hata Robo fainali haijawahi kunusa mbona mnapenda kujikweza?England kama Tanzania tu
Kelele nyingiii kumbe wenzake wanamtia Kichwa
Roho za kichawi zinawatafuna watanzaniaBora ili Bellingham asisifiwe
Kabisa kaka mpira ulikuwa mzuri sana Spain wanajua boliWamoto balaa
ππTeam Spain π₯π₯π₯π₯π₯ tunamemaliza weekend kwa raha. Tunaianza wiki kwa raha.
Asante Spain, kwa kutuliza fujo na keleke za vichwa ngumu.
Mbona mmefika fainali πππThree [emoji881] Lion
FA ingemwondoa southgate,
Wajukuu wa malkia tungebeba kabisa ubingwa
Ila kwa huyu kocha wa championship tunaenda kusindikiza
Una roho ngumu yan waTz tunawaza weekend tu wewe unawaza kuanza week.Team Spain π₯π₯π₯π₯π₯ tunamemaliza weekend kwa raha. Tunaianza wiki kwa raha.
Asante Spain, kwa kutuliza fujo na keleke za vichwa ngumu.
hlf kesho mnatusumbua kule jukwaa la afya mara oooh naona usaha wa buluu juu ya kojoleo[emoji1787]Kwa furaha tu kubwa niliyonayo Usiku huu ngoja sasa nitafute Baa ya kwenda Kunywa na Niokote kwa Kumsuuza nao.