Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Vp hukupata na maziwa ya mbuzi maana kule maziwa ya mbuzi yapo ya kutoshaHuko baridi sana
Kuna kipindi nilienda Njombe nilikula ugali na majani ya maboga yaliyotiwa karanga ule msosi ulikua mtamu naukumbuka hadi leo🤸
Sasa huu ukanda kuhusu misosi ndio mahala pake. Ila kwa jinsi ulivyouzungumzia huo msosi inaonekana toka ulipo toka Njombe haujaula tena! Wakati mimi huku naubonda kwa wiki hata mara 3Huko baridi sana
Kuna kipindi nilienda Njombe nilikula ugali na majani ya maboga yaliyotiwa karanga ule msosi ulikua mtamu naukumbuka hadi leo🤸
Wewe hujawahi?Ndio maana wanaishia kupanda na kukwea mnazi 😁🤣
Hapana sikupata! Kwani ni matamu kuzidi ya ng'ombe?Vp hukupata na maziwa ya mbuzi maana kule maziwa ya mbuzi yapo ya kutosha
Sawa Msemaji Mkuu wa Kitoto kabisa.wew unachuki tu binafsi kijana ana kisura cha kitoto kabisa nazani ata upepo hajanza kumwaga uyu
Itabidi nifanye juu chini nije huko kukaa hata mwezi nipige hiyo misosiSasa huu ukanda kuhusu misosi ndio mahala pake. Ila kwa jinsi ulivyouzungumzia huo msosi inaonekana toka ulipo toka Njombe haujaula tena! Wakati mimi huku naubonda kwa wiki hata mara 3
Subir ukutane na vyuma japo naona Spalletti anaweza akawafikisha Mbali Italy ila mimi sina imani kama atachukua Ubigwa Spalletti system yote aliyokua anaitumia Napoli kaenda kuisimika kweny Timu ya Taifa Ndio maana jana Di lorenzo nilikua naona ana enyoy tuNilisema Toka juzi sisi Italy hili kombe tunabeba mara ya pili
Karibu sana. Misosi na matunda ndio mahala pake, ila ujiandae unaweza ukanogewa na usirudi🤣Itabidi nifanye juu chini nije huko kukaa hata mwezi nipige hiyo misosi
Kurudi lazima sababu baridi la huko siliweziKaribu sana. Misosi na matunda ndio mahala pake, ila ujiandae unaweza ukanogewa na usirudi🤣
Baridi linazoeleka mbona. Halafu kawaida kabisa na utakua unarudi mjini kusalimia tu na unawauliza kabisa nyie mnawezaje kuishi mji una joto kama kiwanda cha kuoka mikate🤣🤣Kurudi lazima sababu baridi la huko siliwezi
Halafu watu wa nyanda hiyo mnaongea sanaa! Unarusha maneno kama Lucas wote mpo hukoBaridi linazoeleka mbona. Halafu kawaida kabisa na utakua unarudi mjini kusalimia tu na unawauliza kabisa nyie mnawezaje kuishi mji una joto kama kiwanda cha kuoka mikate🤣🤣
Mimi sio muongeaji kabisa ni keyboard warrior tu 🤣🤣Halafu watu wa nyanda hiyo mnaongea sanaa! Unarusha maneno kama Lucas wote mpo huko
Weee humjui Lucas mwashambwa?Mimi sio muongeaji kabisa ni keyboard warrior tu 🤣🤣
Huyo Lucas simfahamu lakini pamoja na ivyo mi sio mzaliwa wa huku japo nimekulia na kupata elimu ya juu kanda hii
Huyo jamaa chawa wa mama namuona ona tu.Weee humjui Lucas mwashambwa?
Ila huko ndio kwenu sababu mkoa huo ndio umekulea
Unalima mazao?Huyo jamaa chawa wa mama namuona ona tu.
Huku ndio kushakua nyumbani kabisa na mashamba tushatafuta
Kulima uhakika pande hiziUnalima mazao?
Basi nitakuja kufanya kilimo hukoKulima uhakika pande hizi
Afu yana ongeza utelezi kule sehemu pendwa Ni matamu sio saana sijawahi zaidi kipindi na balehe ndio zilikuwa zinatoka zenyewe usiku ndoto nyevuWewe hujawahi?
Hapana sikupata! Kwani ni matamu kuzidi ya ng'ombe?
Kaka yoyote ajeSubir ukutane na vyuma japo naona Spalletti anaweza akawafikisha Mbali Italy ila mimi sina imani kama atachukua Ubigwa Spalletti system yote aliyokua anaitumia Napoli kaenda kuisimika kweny Timu ya Taifa Ndio maana jana Di lorenzo nilikua naona ana enyoy tu
Karibu sana. Ukimaliza chuo usijiulize mara mbili njoo huku ujizire kwa muda ukirudi mjini wakusalimie kwa heshimaBasi nitakuja kufanya kilimo huko
Chuo?Karibu sana. Ukimaliza chuo usijiulize mara mbili njoo huku ujizire kwa muda ukirudi mjini wakusalimie kwa heshima