Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Vp hukupata na maziwa ya mbuzi maana kule maziwa ya mbuzi yapo ya kutoshaHuko baridi sana
Kuna kipindi nilienda Njombe nilikula ugali na majani ya maboga yaliyotiwa karanga ule msosi ulikua mtamu naukumbuka hadi leo🤸