UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Final ilikuwa Germany na Spain hizi zingine Spain hajapata challenge yoyote
 
Tanzania furaha ya mpira imeishia kwenye vimbwanga na mafanikio ya timu mapacha wa kariakoo tu basi, ambazo na zenyewe mafanikio yao yanategemea zaidi wageni.

Hakunaga anayejali kuhusu timu yetu ya taifa sio serikali, sio TFF sio wabongo wenyewe.

Ukitaka kuamini hakuna yoyote anayejali kuhusu taifa stars, angalia tukitolewa au tukishindwa kufuzu kwenye michuano yoyote ile mikubwa huwezi kuskia kelele za aina yoyote ile wala maoni.... ila sasa angalia Yanga na Simba wakitolewaga kwenye michuano ya kimataifa jinsi inavyokuwepo mijadala isiyoisha tena iliyojaa hisia kali sana kutoka kila kona ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…