Actually the final of this tournament was played in quarterfinal stage which was Germany vs Spain clash.... baada ya hapo ilikuwa ni kama formalities, yeyote aliyekuwa anapita hapo alikuwa anaenda kuwa bingwa.
Angalia kati ya wapinzani wote waliokutana na Spain ni mjerumani pekee tu ndio alimpa shida, kwanza ndio timu pekee iliyomlazimisha kwenda extra time, ndio timu pekee iliyomzidi ball possesion hasa zile dk 30 za nyongeza na ndio timu pekee iliyomzidi expected goal(Xg) 1.8 kwa 1.6.
Hao wapinzani wengine wote walikuwa wanazidiwa kila kitu.