Kuna chuma kutoka vfb Stuttgart kinaitwa Denis Undav uchezaji wake Hana tofauti na Miloslav CloseUjerumani ndio wameshindwa kuzalisha mshambuliaji mwengine wa kiwango cha juu, kutoka utawala wa klose, mario gomez, klinsmann, voller hadi nyakati za kai havertz na fullkrug
Kuna Denis Undav kutoka vfb StuttgartBinafsi mimi nasimama na fulkrug kuliko havert.
Ubaguzi Wa Rangi ni dhahiri...
Fkkk.
Tizameni mashindano haya kwa makini.
Nilishangaa kumuona jamaa anacheza full backHuyu kocha hana fullback mwingine amuingize then Carrasco asogee karibu na goli. Anakosea sana kumchezesha mbali na goli
vip kwani niya wazee wa upinde auIla hii logo ya mwaka huu ya Euro sijaikubali
Chukua point uwasimulie wenzie kijiweni...
Goli la Uingereza la jana halikusherehekewa .. sijui why..
Ila Black, wenye ngozi nyeusi ndo walioiwezesha ile game whites wakaibuka na ushindi.
[/QUOT
Chukua point uwasimulie wenzie kijiweni...
Goli la Uingereza la jana halikusherehekewa .. sijui why..
Ila Black, wenye ngozi nyeusi ndo walioiwezesha ile game whites wakaibuka na ushindi.
[/QUOT
Ni austria bossAustralia wanakaba, Wana press mbaya wako vizuri Sana michuano hi naend na Austria japo tulijifunga
Chukua point uwasimulie wenzie kijiweni...
Goli la Uingereza la jana halikusherehekewa .. sijui why..
Ila Black, wenye ngozi nyeusi ndo walioiwezesha ile game whites wakaibuka na ushindi.
Frace wahuni tu kama England