UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Ebu nipeni mchanganuo Albania na Croatia wamepiga game mbili na wanalingana point hatima ya hz timu imekaaje? What's next?
Bado game moja moja. Kwa sasa hakuna unachoweza kusema.

Albania ana unafuu. Ana negative moja. Huku Croatia akiwa na negative 3.

Timu mbili za kila kundi zitatangulia knock out. Kuna nafasi nne kwa best loosers.

Kama hali itakuwa mbaya kwa timu zingine basi wanaweza kutoboa huko.
 
Ni dhairi kabisa hujanipata kwa usahihi mantiki yangu, umenisosoma kwa juu juu tu kisha ukaona unijibu tena kwa comment iliyojaa mahaba yaliyopitiliza.

Kwanza nikukosoe Ronaldo tangu aanze kushiriki hii michuano ya Euro mwaka huu ni mara ya tano, na katika mara zote 5 amekuwa top scorer wa michuano mara moja tu ambapo ni mwaka 2020/21.

Na pia nikujuze tu Ronaldo katika international career yake ameshiriki hizi major tournaments yaani EURO,WORLD CUP,FIFA CONFEDERATION CUP pamoja na UEFA NATIONS LEAGUE zote kwa pamoja mara 12, sasa katika mara 12 zote alizoshiriki ameibuka kama top scorer mara 2 tu, je unajua sababu???? Ni kwanini kwenye international career ana golden boot chache hivyo na wakati kwenye clubs huwa haipiti misimu miwili anaibuka mfunga bora?

Endapo kama ungekuwa umenielewa mantiki yangu hata usingeona kuna shida kwenye comment yangu.

Yaani hizo goals ambazo wewe unaona amefunga na zinakuridhisha ni ndogo sana kulinganisha na zile ambazo angeweza kufunga endapo kama angecheza na teammates wazuri tangu kipindi yuko kwenye prime(2008-2017) na hata world cup angeweza kuwa nayo leo hii kama hiki kizazi cha akina Bernado Silva,Diaz,Fernandez,Joao Felix angekuwa na anacheza nacha tangu 2010 huko..... nafikiri kwa huu ufafanuzi utakuwa umenielewa sasa.
Golden boot kwenye international competition anazo chache sababu ata idadi ya mechi ni chache tofauti na mechi za kwenye vilabu afu pia izo international competition zinachukua kipindi kirefu sana kufanyika mfano kombe la Duniani huwa linafanyika kila baada ya miaka minne Na Ndio maana ata top score mwenye Goli nyingi kuliko wote kwenye kombe la Dunia ana Goli kumi na sita pekee sababu kubwa ni idadi ya mechi na mda na mfumo unaotumika kuendesha ayo masindano mfano mashindano mengi ya international competition yapo kwenye mfumo wa mtoano

Na pia nakupinga unavyosema Ronaldo wa kipindi cha 2010 hadi 2017 angekua na kikosi Hiki ingewezekana ata kombe la Duniani wangebeba sio rahisi ivo mzee unajua toka kombe la Dunia lianze mwaka 1930 Ni timu tano tu Ndio zimetwaa kombe la Dunia kutoka Bara la ulaya nazo ni Germany,England ,Spain ,Italy na France wew unazani miaka yote hiyo bara la ulaya izo timu tano tu ndio zilikua zinavikosi Bora vya kuwawezesha wabebe kombe la Dunia kwa mfano Nertheland wamewahi kuwa na vikosi vya dhahabu mara nyingi tu ila Hadi leo hii kombe la Dunia wanalisikia kwenye Bomba tu kwahyo kauli yako yakusema eti angekua na kikosi Hiki akiwa na ubora wake wa kipindi cha Nyuma angetwaa kombe la Dunia nakupinga vibaya kabisa
afu nakuongezea kuwa top score sio kushinda Golden boot pekee mfano uyo uyo Cristaiono Ronaldo kashinda golden boot kwenye aya mashindano mara moja tu ila ukichukua ki ujumla ya mashindano yote yaliowahi kufanyika yeye ndio anaongoza kwa kua na idadi kubwa ya Magoli ana jumla ya magoli 14
 
IMG_1918.jpeg
 
Back
Top Bottom