Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
-
- #1,841
Bado game moja moja. Kwa sasa hakuna unachoweza kusema.Ebu nipeni mchanganuo Albania na Croatia wamepiga game mbili na wanalingana point hatima ya hz timu imekaaje? What's next?
Golden boot kwenye international competition anazo chache sababu ata idadi ya mechi ni chache tofauti na mechi za kwenye vilabu afu pia izo international competition zinachukua kipindi kirefu sana kufanyika mfano kombe la Duniani huwa linafanyika kila baada ya miaka minne Na Ndio maana ata top score mwenye Goli nyingi kuliko wote kwenye kombe la Dunia ana Goli kumi na sita pekee sababu kubwa ni idadi ya mechi na mda na mfumo unaotumika kuendesha ayo masindano mfano mashindano mengi ya international competition yapo kwenye mfumo wa mtoanoNi dhairi kabisa hujanipata kwa usahihi mantiki yangu, umenisosoma kwa juu juu tu kisha ukaona unijibu tena kwa comment iliyojaa mahaba yaliyopitiliza.
Kwanza nikukosoe Ronaldo tangu aanze kushiriki hii michuano ya Euro mwaka huu ni mara ya tano, na katika mara zote 5 amekuwa top scorer wa michuano mara moja tu ambapo ni mwaka 2020/21.
Na pia nikujuze tu Ronaldo katika international career yake ameshiriki hizi major tournaments yaani EURO,WORLD CUP,FIFA CONFEDERATION CUP pamoja na UEFA NATIONS LEAGUE zote kwa pamoja mara 12, sasa katika mara 12 zote alizoshiriki ameibuka kama top scorer mara 2 tu, je unajua sababu???? Ni kwanini kwenye international career ana golden boot chache hivyo na wakati kwenye clubs huwa haipiti misimu miwili anaibuka mfunga bora?
Endapo kama ungekuwa umenielewa mantiki yangu hata usingeona kuna shida kwenye comment yangu.
Yaani hizo goals ambazo wewe unaona amefunga na zinakuridhisha ni ndogo sana kulinganisha na zile ambazo angeweza kufunga endapo kama angecheza na teammates wazuri tangu kipindi yuko kwenye prime(2008-2017) na hata world cup angeweza kuwa nayo leo hii kama hiki kizazi cha akina Bernado Silva,Diaz,Fernandez,Joao Felix angekuwa na anacheza nacha tangu 2010 huko..... nafikiri kwa huu ufafanuzi utakuwa umenielewa sasa.
First half tu nilikacsh out fasta kurudisha hela yangu. Croatia alikua anamiliki mpira tu lakini hana hatari nikasema hakuna ushindi hapa ngoja nivute tu hela yanguMh umewaamini Nini hawa wacroatia rafiki ?
Jamaa mhuni kweli Sasa alikuwa anaenda wapi!
Karibu!. Ingia ndani na sarakasi yako.Dr Restart nimekuja kukusalimia..!🤸
Wewe upo upande ganiKaribu!. Ingia ndani na sarakasi yako.
Muda huu ni Ujerumani vs Hungary.
Madogo wapuuzi wanapata counter wanarudi nyumaUjerumani anaweza shangazwa