Hatariii..Imoooooo
Marufuku beki kuhusu kwamba kipa ataidakaUyu beki si angemuachia kipa sasa
Ni mashuti aswaahDuuu hii EURO ina magoli ya kibabe sana kiukweli
Wenzetu wanajua kufuga sie huko hatuna wafungaji kabisa...tuma utua tuu mipira hovyoDuuu hii EURO ina magoli ya kibabe sana kiukweli
Yani wametuzidi sana hawa jamaaWenzetu wanajua kufuga sie huko hatuna wafungaji kabisa...tuma utua tuu mipira hovyo