Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha tukutane kesho kuna mechi kali sanaLeo sijaingia kijiwe nongwa cha euro nilikuwa nasoma majibu ya mpina kwa sipika kuhusu Ufisadi wizara ya kilimo na kashfa ya sukari hadi nguvu za kufurahia mpira zimeisha
TANGANYIKA yetu hii basi tu
Leo tupo wapi mkuuHahaha tukutane kesho kuna mechi kali sana
Wewe jamaa unachokataa sasa hapo ni nini? Halafu umetaja wachezaji waliotokea kwenye generations tofauti tofauti kwa ujumla na wakati mimi point yangu inalenga kuwa na wachezaji wazuri waliotokea kwenye kizazi moja kama ilivyo hivi sasa, hapo ndio tunashidwa kuelewana.Portugal ya 2008-2017 ilikuwa na wachezaji wa kawaida?
Huu ni uongo mkubwa, kwa miaka hiyo ukiacha Spain hakuna timu ilikua na wachezaji wazuri kama Portugal
Ricardo, Rui Patricio, Jose bosingwa, Pepe, Paulo Ferreira, Ricardo carvalho, maniche, costinha, Deco, bruno alves, postiga, Tiago, Simao, Quaresma, Nuno gomes, raul meireles, Mendes, Luis Nani, Mourinho, Hugo almeida, Fabio contreao, William carvalho,
Hao wote bawakua wazuri?
Yacine tv (app)wakuu app gani / web naweza ona hizi game?
2.5 imeniponza
[/QUOTE Hawa wanaweza wasitoe ata goli moja
Bora kucheki soka tu2.5 imeniponza
Kubet hapana aiseeBora kucheki soka tu
😄😄😄😄Kubet hapana aisee
Hii mechi imenipitaSioni update VP wakuu