raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Yule mzee akianza uchambuzi hatumwi mtu dukani 😄Those days🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mzee akianza uchambuzi hatumwi mtu dukani 😄Those days🤣
Nimemiss chambuzi za Dr Ricky
Ungesikia hawa denmark sio wa kubeza na kwa faida ya watazamaji hii ndio nchi inayo ongoza kwa watu wake kula nyama duniani 😄🔥🔥🔥🔥
Mzee alikuwa bonge la mshereheshajiNimemiss chambuzi za Dr Ricky
Ungesikia hawa denmark sio wa kubeza na kwa faida ya watazamaji hii ndio nchi inayo ongoza kwa watu wake kula nyama duniani 😄🔥🔥🔥🔥
Kwanza nachokataa ulivyosema Portugal haikuwa na wachezaji wazuri 2008-2017Wewe jamaa unachokataa sasa hapo ni nini? Halafu umetaja wachezaji waliotokea kwenye generations tofauti tofauti kwa ujumla na wakati mimi point yangu inalenga kuwa na wachezaji wazuri waliotokea kwenye kizazi moja kama ilivyo hivi sasa, hapo ndio tunashidwa kuelewana.
Labda nikuulize ile squad ya akina Rui Patricia,Bruno Alves,Miguel,Roland,Ruben Amorim,Duda,Pedro Mendez,Raul Mereles na Silvio ambayo ilienda kushiriki world Cup ya 2010 unaweza ukalingisha na hii ya sasa hivi ya akina Bernado silva??
Ile squad iliyoshiriki iliyoenda kushiriki Euro 2012 iliyokuwa imejaza wazee kibao akina Helder Postiga, Nuno Gomez,Carlos Martin,Ricardo Carvalho, Ricard Costa unaweza ukailinganisha na hii ya sasa hivi ya akina Raphael Leao??
Squad ambayo ilishiriki World cup 2014 kule brazil yenye midfield mbovu kabisa ya akina Miguel Veloso na Silvestee Velera ambapo walitoka hatua ya makundi unaweza ukailinganishan na hii sasa hivi ya Bruno Fernandez?
Yaani ni kwamba wewe unachotaka kusema hiki kizazi chao cha kisasa ubora wao hauna tofauti na vizazi vilivyopita au?
Halafu unasema eti ukitoa Spain hauna timu nyingine iliyokuwa na wachezaji wazuri kweli? Ronaldo angekuawa anacheza na wachezaji wazuri kama unavyosema angekosa goli hata moja kwenye knock out stage ya world cup tournaments licha ya kushiriki michuano hiyo mara tano???
Kwamba hawa wachezaji wa sasa hivi tunaowaona wakivaa uzi wa Portugal hawana tofauti na hao wa huko nyuma uliowataja au? Kwa hiyo wewe unabishana na Luis Figo ambaye anasema hiki kizazi cha sasa ndio kizazi bora zaidi kuwahi kutokea kwenye historia ya taifa lao?
Huyu mzee yupo hai badoMzee alikuwa bonge la mshereheshaji
Naskia chanzo cha kifo chake ni kamari alikuwa anacheza sana kamari kwenye
NimechanganyaHuyu mzee yupo hai bado
Huyu mzee yupo hai bado
Numbisa umerudi kwenye ubora wakoEngland 1st goal . KaneView attachment 3021678
Asante mkuu angalau tusioangalia hii mechi tunafaidi hivi vipandeDenmark 1st goal . HjulmandView attachment 3021681
Eng wana poozesha gameHii mechi kama imepoa
Kane kachomeshaDenmark 1st goal . HjulmandView attachment 3021681