Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele ni butu sanaItaly wanaanzisha mashambulizi vizuri ila mbele hawapo vizuri kwenye umaliziaji
Wakifika ni kama hawajui wafanye nnMbele ni butu sana
Kama bado unapima ubora wa timu kwa kuangalia FIFA rankings bado una safari ndefu ya kuujua mpira katika uhalisia wake.Kwanza nachokataa ulivyosema Portugal haikuwa na wachezaji wazuri 2008-2017
Huu ni uongo
Wachezaji wazuri waliotokea kizazi kimoja na Ronaldo wapo na nimekutajia mfano ndio hao kina Ricardo carvalho, pepe, Luis nani, n.k na wengine ni hao walikuja mara moja ba kupotea
Squad ya sasa ya kina bernaldo ni bora kuliko ya 2010? Hii haina sana ukweli labda kama unaangalia kwamacho. 2010 Portugal walikuwa nafasi ya 7 kwa ubora, mwaka huu 2024 wapo nafasi ya 6. Kwa utofauti hapo huwezi kuona, hivyo tunasema Portugal ya 2010 na hii ya 2024 zote viwango sawa
Squad ya 2012 iliyoshiriki euro huwezi linganisba na hii ya Sasa? Huu nao ni uongo, kwa mujibu wa wapima ubora FIFA rankings Portugal 2012 walikua nafasi ya 3 kwa ubora nyuma ya Spain na Germany. Ww ubora unaupimaje? Maana katika hata hiyo euro Portugal ndio alitoa changamoto kubwa kwa spain iliiyokua bora kabisa duniani, bila mikwaju ya penalty spain alikua anatolewa
Squad ya 2014 iliyoenda kushiriki world cup nayo umeibeza? Kwa taarifa tu kabla ya world cup portugal bado ilikua nafasi ya 3 kwa ubora duniani nyuma ya Spain na germany
Unasema Ronaldo kukosa goli kwenye knockout stage ndio sababu ya we kuona Portugal haikua na timu nzuri? Hiyo kukosa goli ni la Ronaldo mwenyewe binafsi, maana katika timu hiyo hiyo ya Portugal wapo waliofunga goli kwenye hatua hiyo.
Mchezaji kufunga au kutofunga goli hatua flani haina uhusiano na uzuri au ubovu wa timu. Fernandez mchezaji wa kawaida tu kutoka timu ya kawaida kabisa ya Australia kwenye world cup iliyopita alifunga goli hatua ya knockout. Hii euro tunayoangalia sasa, ile iliyopita top scorer alikua Ronaldo pamoja Schik kutoka Czech, Czech ni timu ya kawaida kabisa lakini Schick ameweza kuibuka top scorer. Hivyo Ronaldo kushindwa kufunga goli knockout stage huo ni uzembe wake wala hauhusiani na uzuri wa wachezaji. Hata huu uzembe messi amewahi kufanya, 2010 hakufunga goli hata moja. Hapo napo ilibidi ilaumiwe Argentina?
Figo kusifia timu ya sasa sio hoja, ndio hufanya hivyo legends wengi. Hii euro Germany wameshinda 5 dhidi ya Scotland, lakini ulimuuliza kocha wa Germany kuhusu scotland bado ataisifia na kusema wana nafasi kubwa kuchukua ubingwa wa euro
Kuna watu wakiona hizo three stars hapo wanaumia mpaka chini ya Moyo.Upande wa pili, Copa AmericaView attachment 3021737
Gavi au Pedri?Mbona huyu Gavi hampi pasi yule winga mweusi
Mzee hebu tumia hii hakuna mechi ambayo unahiitaji ukaikosa hapa labda mechi za ligi yenu ya bongo.Yyte anayejua link I ayoonyesha live atuambie manake wengine tupo safarini tunaelekea Madaba Songea
Huwa nawafananisha sana Mkuu, nimekosea ni PedriGavi au Pedri?
Dogo sjui atarudi lini yuleHuwa nawafananisha sana Mkuu, nimekosea ni Pedri
Vipi mkeka wako?2.5 inatoa.
GG inatoa.
Usimpe direct Italy.
Aisee EPL irudi tuVipi mkeka wako?