Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele ipi tayari age wented 😂😂😂PePe namtabiria mazuri kwenye carrier yake ya uchezaji mpira huko mbeleni
Kambani au Kambini?Hii mechi namuona Ronaldo kambani kipindi cha pili dk. 56
Ndio maana muda ule nikakwambia leo sielewi elewi kuhusu oddsHaitoi G-G
Bila kutoa assist pale nilikua nimepatia betting yangu..hata hivo dk. 56 Fernandez kaweka assist Ronaldo ✅📌⚽️Hii mechi namuona Ronaldo kambani kipindi cha pili dk. 56
Dogo anaubonda vibaya mno..mechi nne za mwisho real madrid zote kaweka afu yeye anamuweka nje kweli.Ah huyu kocha anazingua dogo mtuu yule
Swadakta mkuu, hapo kikubwa bundle tu ila kitu unakipata clear kabisa tena bila usumbufu wa ads.Nakubali..nilicho ipendea hakuna mechi utakosa hata under 17 kila nchi ni bando lako tu😂,ukiwa na smart tv huna haja ya dstv
Mkuu upo vyede unajua vitu vingi kwenye smartphoneSwadakta mkuu, hapo kikubwa bundle tu ila kitu unakipata clear kabisa tena bila usumbufu wa ads.
Sasa kuna hii hapa App yaani ukiwa na hii hauna tofauti na mtu aliyefunga dish la Dstv nyumbani kwake.. maana maana channels nyingi unazozipata dstv hata humu zimo, kikubwa uwe na hela ya kununua bundle la maana tu.View attachment 3023338